MrProsecutor
JF-Expert Member
- Jun 12, 2017
- 281
- 274
Habar za muda Great Thinkers, poleni na misukosuko ya hapa na pale.
Naomba kuuliza hili swali kwa wataalamu wa afya au yeyote anaejua. Hivi kichwa kinapouma ni vitu gani ndo huwa vinauma ndan ya kichwa. Mfano ukichomwa na mwiba ile sehem mwiba ulipochoma ndo inauma sas vip kwa kichwa, kuna sababu kam vile kupungukiwa maji lakini ni kipi ndo kinachoreact baada ya maji kupungua?
Nawasilisha wakuu. Thanks
Naomba kuuliza hili swali kwa wataalamu wa afya au yeyote anaejua. Hivi kichwa kinapouma ni vitu gani ndo huwa vinauma ndan ya kichwa. Mfano ukichomwa na mwiba ile sehem mwiba ulipochoma ndo inauma sas vip kwa kichwa, kuna sababu kam vile kupungukiwa maji lakini ni kipi ndo kinachoreact baada ya maji kupungua?
Nawasilisha wakuu. Thanks