SACO
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 2,318
- 2,912
Ila wanawake wa bei ndogo wapo Manzese ...Magomeni utapata wa bei juu mkuiNdio tuko kwenye harakati za kupaka grisi mkuu....
BTW Shukran mdau, nitakucheki incase of anything!!
Ila wanawake wa bei ndogo wapo Manzese ...Magomeni utapata wa bei juu mkuiNdio tuko kwenye harakati za kupaka grisi mkuu....
BTW Shukran mdau, nitakucheki incase of anything!!
Nina KY hapa nayo inaweza lainisha vyuma mkuuMdau usisumbuke. We ukifika Dar nitafute nitakupeleka huko kwa ujira mdogo tu.
#Vyuma_vimekaza
Hiyo haifai. Itafanya vyuma visagane baadae. Leta Grisi bwanaNina KY hapa nayo inaweza lainisha vyuma mkuu
Baada ya kusomeshwa namba mwaka mzima bila kazi tumeitwa kwenye usaili, na usaili utafanyika hapo dsm kwenye maktaba kuu utumishi wa uma (PSRS)!
Kwanza natarajia kushukia ubungo, pili naomba nielekezwe mambo haya wadau...
1. Je hii sehemu yaani maktaba kuu utumishi wa uma iko eneo gani hapo dsm?
2. Je naweza pata sehemu nzuri ya kulala iliyo karibu na maktaba kuu kwa bajeti ya 10000-15000 (isizidi elfu 20)?
Na hata pasipokua karibu na maktaba kuu basi pasiwe mbali na kituo cha magari au sehemu nnayoweza kutumia boda boda na kufika maktaba kuu au utumishi kwa haraka!
3. Je huu usafiri wa mwendo kasi ukoje? taratibu zake zikoje?
Karibuni kwa mawazo wadau...
hivi ulifikaje jf ukajiunga na kuwa member humu.si unatumia elektroniki.na jua kwa sasa ukosi smartphone.Baada ya kusomeshwa namba mwaka mzima bila kazi tumeitwa kwenye usaili, na usaili utafanyika hapo dsm kwenye maktaba kuu utumishi wa uma (PSRS)!
Kwanza natarajia kushukia ubungo, pili naomba nielekezwe mambo haya wadau...
1. Je hii sehemu yaani maktaba kuu utumishi wa uma iko eneo gani hapo dsm?
2. Je naweza pata sehemu nzuri ya kulala iliyo karibu na maktaba kuu kwa bajeti ya 10000-15000 (isizidi elfu 20)?
Na hata pasipokua karibu na maktaba kuu basi pasiwe mbali na kituo cha magari au sehemu nnayoweza kutumia boda boda na kufika maktaba kuu au utumishi kwa haraka!
3. Je huu usafiri wa mwendo kasi ukoje? taratibu zake zikoje?
Karibuni kwa mawazo wadau...
ukitaka kusaidia usulize mkoaunatokea mkoa gani nikupe sapoti ndugu.
sina maana ya ukabila au ukanda namaanisha hata nikitaka kumsubili ubungo ni gari za mkoa gani niangalie ndugu samahani kwa hiloukitaka kusaidia usulize mkoa
Hii kwangu niliiona kuwa ni fursa Na ndio maana nikaamua kuja Na website hii ya [a href="[URL="https://malazikiganjani.com"]Malazi Kiganjani | Welcome[/URL]"]Malazi Kiganjani,[/a] ambayo itakupunguzia msongo wa Mawazo wa wapi nitafikia.Baada ya kusomeshwa namba mwaka mzima bila kazi tumeitwa kwenye usaili, na usaili utafanyika hapo dsm kwenye maktaba kuu utumishi wa uma (PSRS)!
Kwanza natarajia kushukia ubungo, pili naomba nielekezwe mambo haya wadau...
1. Je hii sehemu yaani maktaba kuu utumishi wa uma iko eneo gani hapo dsm?
2. Je naweza pata sehemu nzuri ya kulala iliyo karibu na maktaba kuu kwa bajeti ya 10000-15000 (isizidi elfu 20)?
Na hata pasipokua karibu na maktaba kuu basi pasiwe mbali na kituo cha magari au sehemu nnayoweza kutumia boda boda na kufika maktaba kuu au utumishi kwa haraka!
3. Je huu usafiri wa mwendo kasi ukoje? taratibu zake zikoje?
Karibuni kwa mawazo wadau...
KIlimanjaro mkuuunatokea mkoa gani nikupe sapoti ndugu.
Hua haja ya kusikitika mkuu, ukiwa vitani huwezi pigana kwa bastola tu, lazima uwe na altenatives...nasikitika sana kuona watanzania kukosa akili ya kufa sio ya kuzaliwa
hata ulaya tunaenda kwa google sasa.miaka hii siyo ya kuomba msaada wakati teknolojia hipoHua haja ya kusikitika mkuu, ukiwa vitani huwezi pigana kwa bastola tu, lazima uwe na altenatives...
Rudia kusoma ulichoandika mkuu alafu linganisha na uwezo wa akili yako.Chuo ulisoma Tekeu nini??
Pamoja sana mkuu.miaka hii siyo ya kuomba msaada wakati teknolojia hipo
kama ni mgeni, kulala kimara ni sawa na kurudi nyuma.Na magomeni pakoje mdau?? ukilinganisha na kimara...interms of sehem za kulala na ukaribu wa kituo cha mwendo kasi
Hiki ndicho kilicho nishinda kwenye hiyo ruti mkuu!ila kuwa makini na wezi.