OnlineFinancial
Senior Member
- Aug 23, 2017
- 117
- 96
Baada ya kusomeshwa namba mwaka mzima bila kazi tumeitwa kwenye usaili, na usaili utafanyika hapo dsm kwenye maktaba kuu utumishi wa uma (PSRS)!
Kwanza natarajia kushukia ubungo, pili naomba nielekezwe mambo haya wadau...
1. Je hii sehemu yaani maktaba kuu utumishi wa uma iko eneo gani hapo dsm?
2. Je naweza pata sehemu nzuri ya kulala iliyo karibu na maktaba kuu kwa bajeti ya 10000-15000 (isizidi elfu 20)?
Na hata pasipokua karibu na maktaba kuu basi pasiwe mbali na kituo cha magari au sehemu nnayoweza kutumia boda boda na kufika maktaba kuu au utumishi kwa haraka!
3. Je huu usafiri wa mwendo kasi ukoje? taratibu zake zikoje?
Karibuni kwa mawazo wadau...
MREJESHO:
Nilifanikiwa kufika, nilipata sehemu nzuri ya kulala na nilifanikiwa kuhudhuria usaili na zaidi ya yote nilifanikiwa kuwa kati ya wachache walioitwa kazini!!
Nawashukuruni wote kwa mawazo yenu!
Kwanza natarajia kushukia ubungo, pili naomba nielekezwe mambo haya wadau...
1. Je hii sehemu yaani maktaba kuu utumishi wa uma iko eneo gani hapo dsm?
2. Je naweza pata sehemu nzuri ya kulala iliyo karibu na maktaba kuu kwa bajeti ya 10000-15000 (isizidi elfu 20)?
Na hata pasipokua karibu na maktaba kuu basi pasiwe mbali na kituo cha magari au sehemu nnayoweza kutumia boda boda na kufika maktaba kuu au utumishi kwa haraka!
3. Je huu usafiri wa mwendo kasi ukoje? taratibu zake zikoje?
Karibuni kwa mawazo wadau...
MREJESHO:
Nilifanikiwa kufika, nilipata sehemu nzuri ya kulala na nilifanikiwa kuhudhuria usaili na zaidi ya yote nilifanikiwa kuwa kati ya wachache walioitwa kazini!!
Nawashukuruni wote kwa mawazo yenu!