witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,096
Utapanda daladala likulete hadi shekilango, then upande mwendokasi hapo hapo, ndo uende huko DIT...Shukran mdau, ila nikifika huko sinza na nikitaka kutumia mwendo kasi kufika posta itakua rahisi??
Kuambiwa ukalale Sinza ni kwa sababu kumetulia sana to compare na manzese or Magomeni...