Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Habari zenu familia ya JF.
Naenda kwenye hoja hapo juu. Kumekuwa na mipango ya kutaka kubadilisha mfumo wa uchaguzi na mihula ya Urais humu nchini.
Mi binafsi napendekeza na kama ningekuwa na uwezo, ningependa kuona uchaguzi ukifanyika Mara moja tu ndani ya miaka kumi. Yaani Rais akishapita atahudumu miaka 10 na baada ya hapo aondoke. Uchaguzi wa bunge hivyohivyo sambamba na Urais ila sio lazima Mbunge aondoke baada ya miaka 10.
Akipenda aendelee kwani sio vizuri wanasiasa wote wawe wapya ktk nchi ktk mhula fulani. Sababu kuu za mapendekezo yangu zipo mbili. Mosi kupunguza gharama zisizo za lazima kufanya uchaguzi na pili kupunguza damu imwagikayo na roho zipoteazo kipindi matokeo ya uchaguzi yanapotangazwa na kubishaniwa.
Naenda kwenye hoja hapo juu. Kumekuwa na mipango ya kutaka kubadilisha mfumo wa uchaguzi na mihula ya Urais humu nchini.
Mi binafsi napendekeza na kama ningekuwa na uwezo, ningependa kuona uchaguzi ukifanyika Mara moja tu ndani ya miaka kumi. Yaani Rais akishapita atahudumu miaka 10 na baada ya hapo aondoke. Uchaguzi wa bunge hivyohivyo sambamba na Urais ila sio lazima Mbunge aondoke baada ya miaka 10.
Akipenda aendelee kwani sio vizuri wanasiasa wote wawe wapya ktk nchi ktk mhula fulani. Sababu kuu za mapendekezo yangu zipo mbili. Mosi kupunguza gharama zisizo za lazima kufanya uchaguzi na pili kupunguza damu imwagikayo na roho zipoteazo kipindi matokeo ya uchaguzi yanapotangazwa na kubishaniwa.