Sipendi yale madebe mnayopiga kuamshana kula, huwa mnawaamsha na wasio husika, kwanini msitumiane msg au kubipiana?
Bismillahir Rahmanir Rahim
Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh.
Kwa mara nyingine tena mbingu zitafunguka na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuwa nasi.
Fungueni nyoyo zenu kwani Ramadhani na baraka zake zote pamoja na uzuri wake unawadia.
Ramadhani sawa na huko nyuma kwa usahali na bila ria lakini kwa kina na wingi wa maana inawadia ili nyoyo zetu zilizochoka zinufaike na chemichemi yake na rehma za Mwenyezi Mungu zitushukie.
Mwezi wa Ramadhani unatoa bishara njema kwa Watu wote kuhusu kufunguliwa milango ya peponi na kuanza karamu ya Mwenyezi Mungu.
Bismillahir Rahmanir Rahim
Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh.
Kwa mara nyingine tena mbingu zitafunguka na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuwa nasi.
Fungueni nyoyo zenu kwani Ramadhani na baraka zake zote pamoja na uzuri wake unawadia.
Ramadhani sawa na huko nyuma kwa usahali na bila ria lakini kwa kina na wingi wa maana inawadia ili nyoyo zetu zilizochoka zinufaike na chemichemi yake na rehma za Mwenyezi Mungu zitushukie.
Mwezi wa Ramadhani unatoa bishara njema kwa Watu wote kuhusu kufunguliwa milango ya peponi na kuanza karamu ya Mwenyezi Mungu.
Bismillahir Rahmanir Rahim
Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh.
Kwa mara nyingine tena mbingu zitafunguka na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuwa nasi.
Fungueni nyoyo zenu kwani Ramadhani na baraka zake zote pamoja na uzuri wake unawadia.
Ramadhani sawa na huko nyuma kwa usahali na bila ria lakini kwa kina na wingi wa maana inawadia ili nyoyo zetu zilizochoka zinufaike na chemichemi yake na rehma za Mwenyezi Mungu zitushukie.
Mwezi wa Ramadhani unatoa bishara njema kwa Watu wote kuhusu kufunguliwa milango ya peponi na kuanza karamu ya Mwenyezi Mungu.