Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Status
Not open for further replies.
Kwan sisi ndo tunapenda kuskia bendi zenu zikitumbuiza kanisani??? Hua tunavumilia na ww vumilia tuu

Mkuu hapo umeteleza,mtoa maoni hajalalamika juu ya yanayofanyika msikitini,kalalamika juu ya upigaji madebe mtaani,kiukweli sio ustaarabu as kumbuka kuna watu wanaumwa,watoto na wengineo wanaohitaji kulala na kupumzisha akili zao!sasa unapopiga madebe saa 7/8/9 au 10 usiku unategemea walalaje?hakuna msikit unaotoa mahubir mida hiyo,kwa hivo ni sawa mtoa hoja aliposema madebe ya usiku watu waelimishwe waache!
 
Jazakallahu khayrah. Allah atuwafiqishe. Ameen
 
Huwa najiuliza kama hii kitu ni muhimu au wanadamu wanajitafutia ahueni (excuse) tu?


Mwenyezi Mungu ndie Aliyemuumba mwanadamu na ni Yeye tu ndie Anaelewa raha , taabu na wepesi kwa mwanadamu, na sio akili finyu ya mwanadamu ambayo nayo pia ni kiumbe miongoni mwa viumbe vya Allah Taala.
 
"Religion is the opium of the ignorant" - Karl Marx and Religion is the root of all evils.
 
Inshallah taala mungu atuongoze ktk ibada yake hii
 
huu mwezi huwa naupenda sana, vurugu zote mjini zinakuwa likizo
tambua kuwa mwezi huu rehema ya mwenyezi mungu inakuwa karibu sana na wanadamu wote,na mungu anamfunga shetani ili asiwashawishi binadamu (muslim,christian,pagan na wengine wote) katika kutenda dhambi, hivyo basi binadamu anakosa ushawishi wa kufanya maasi mwisho anapunguza au anaacha kabisa,na ambaye anaendelea kufanya maasi ndani ya mwezi huu ujue amepigwa muhuri kwenye kifua chake,mtu huyu hata shetani anamuogopa,
 
  • Thanks
Reactions: awp
vunja jungu wapi?

Nafuu tutapumua kwenye kitimoto, uteja,uchangu, ujambazi huko kote ni vuluvulu.

huu mwezi huwa naupenda sana, vurugu zote mjini zinakuwa likizo

Sipendi yale madebe mnayopiga kuamshana kula, huwa mnawaamsha na wasio husika, kwanini msitumiane msg au kubipiana?

Ngalikihinja, kwa wale wote ambao wanapenda mambo fulani watakuwa likizo

Wakuu tuheshimu imani za wenzetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom