Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Hii tabia ya kuhudhuria hafla zilizoandaliwa na mafisadi. Huu utamaduni wa kuwasiliana na mafisadi. Hizo hulka za kuchekacheka na mafisadi. Huo utaratibu wa kupiga picha na mafisadi. Hayo mahusiano ya kuishi kwa amani na upendo na mafisadi. Haya yote ndiyo yanayolea ufisadi nchini!
Heri mtu yule asiyekwenda
Katika shauri la wasio haki;
Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.
- Mfalme Daudi
Heri mtu yule asiyekwenda
Katika shauri la wasio haki;
Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.
- Mfalme Daudi