L lucz JF-Expert Member Dec 7, 2013 218 41 May 27, 2014 #1 Habari zenu wana jf. Naomba kuuliza ukiwa unatumia simu huku ukiwa unaicharge kuna madhara yoyote kwa binadamu. Nitashukuru kwa mawazo yenu.
Habari zenu wana jf. Naomba kuuliza ukiwa unatumia simu huku ukiwa unaicharge kuna madhara yoyote kwa binadamu. Nitashukuru kwa mawazo yenu.
Ilisolokobwe JF-Expert Member Jul 29, 2013 1,850 803 May 27, 2014 #2 hakuna madhara.kuna uzi kama huu humu na majibu yakawa ni hakuna madhara
ymollel JF-Expert Member Aug 23, 2012 3,096 2,280 May 27, 2014 #3 lucz said: Habari zenu wana jf. Naomba kuuliza ukiwa unatumia simu huku ukiwa unaicharge kuna madhara yoyote kwa binadamu. Nitashukuru kwa mawazo yenu. Click to expand... Hakuna madhara yoyote, hii thread ilishaletwa hapa. kwa kukudokezea.. hakuna madhara yoyote isipokuwa usiweke simu kitandani wakati unacharge na ukalala usingizi.
lucz said: Habari zenu wana jf. Naomba kuuliza ukiwa unatumia simu huku ukiwa unaicharge kuna madhara yoyote kwa binadamu. Nitashukuru kwa mawazo yenu. Click to expand... Hakuna madhara yoyote, hii thread ilishaletwa hapa. kwa kukudokezea.. hakuna madhara yoyote isipokuwa usiweke simu kitandani wakati unacharge na ukalala usingizi.