Inawezekana proba ya kupata ikawa ndogo. Lakini huwa najiuliza ni mara ngapi kwa siku mtu anatumia stick kutoa mabaki kwenye meno. Lakini je huoni unapotoa mabaki hayo kunakiasi fulani cha damu kinakuwepo kwenye stick. Fikiria sasa na mwenzio kafanya hivyo na hali kama hiyo (damu kwenye meno) imemtokea pia. Baada ya hapo mnakutana na kuanza kula lita lakini mnapo du mnatumia PSI. Usalama uko wapi?Wapo watu wanaamini kama mdomoni hakuna mchubuko wa aina yeyote kwa pande zote mbili U are safe.
Pia wengine wanasema probability ya kupata through mate ni ndogo kuliko unapoingia mgodin.
Ila ujue haupo salama sana
Inawezekana proba ya kupata ikawa ndogo. Lakini huwa najiuliza ni mara ngapi kwa siku mtu anatumia stick kutoa mabaki kwenye meno. Lakini je huoni unapotoa mabaki hayo kunakiasi fulani cha damu kinakuwepo kwenye stick. Fikiria sasa na mwenzio kafanya hivyo na hali kama hiyo (damu kwenye meno) imemtokea pia. Baada ya hapo mnakutana na kuanza kula lita lakini mnapo du mnatumia PSI. Usalama uko wapi?Wapo watu wanaamini kama mdomoni hakuna mchubuko wa aina yeyote kwa pande zote mbili U are safe.
Pia wengine wanasema probability ya kupata through mate ni ndogo kuliko unapoingia mgodin.
Ila ujue haupo salama sana
acha uoga mgodini ndio moto upo bt kitu cha lita shangwe tu coz we cheki mswaki umepigwa saa 12 asbh then domo linapitisha fegi, ugoro, misupu, then b4 game unapandia na kiloba hiyo kechi point iko wapi hamuna...........Wengi tunapo fanya mambo yetu yale na watu ambao hatu waamini huwa tunatumia PSI. Lakini huku tukiwa tunakula lita za fluid. Ina maana hizo PSI tunavaa kwa mazoea au?
lakini kuna kawaida ya watu kama hawa kula msosi (ambao unaambatana na matumizi ya stick) kwanza halafu kuduu.acha uoga mgodini ndio moto upo bt kitu cha lita shangwe tu coz we cheki mswaki umepigwa saa 12 asbh then domo linapitisha fegi, ugoro, misupu, then b4 game unapandia na kiloba hiyo kechi point iko wapi hamuna...........
Wokovu mgumu. nikishindwa nifanyeje?okoka na kumrudia Mungu.
Rough Rider, Kamasutra, Durex,rambo endelea............