Kutumia Dola ni kukosa hoja?

Kutumia Dola ni kukosa hoja?

alikuwa mjamaa alipokuwa na njaa chuoni baada ya kushiba nae amekuwa walewale,unapinga ufisadi hali unaishi unahudumiwa kifisadi hapa tofauti ni nini sasa
Yule jamaa katibu mkuu wa ccm ni mtu wa hovyo kweli kweli! Mkuu msafara wake ni kufuru! Nilipouna, nilishangazwa mno! Ni mambo nayoyaona kwenye nchi za kikomunisti peke yake!
 
Yule jamaa katibu mkuu wa ccm ni mtu wa hovyo kweli kweli! Mkuu msafara wake ni kufuru! Nilipouna, nilishangazwa mno! Ni mambo nayoyaona kwenye nchi za kikomunisti peke yake!
anaishi kinyume na anavonena,mdomoni ni mjamaa kimatendo ni kama wengine tu
 
Back
Top Bottom