PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
- Thread starter
- #21
Hata mimi nina kaka yangu yalimkuta hayo hayo sasa ni mwaka wa 8 hatujui aliko yaani hataki kabisa kujulikana amesusa mpaka familia nzima kisa mkewe, jamani wamama tuwe na kiasi
Ple sana Maty, unajua mimi hadi nilitamani kulia. Niliwahi kukaa naye takribani masaa 6 tunaongea, nikimshauri asiondoke lakini wapi. Je, familia yenu imefanya juhudi zipi za kumtafuta nduguyo???