Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Mkuu ushauri wa King'asti na wegine ni mzuri sana, lakini kuna ushauri mwingine wa ziada ambao watu wengi awajawahi kuhusikia nao ni kama ufuatao: Ukiamka asubuhi kabla ujapiga mswaki, mimina a tablespoon full ya mafuta ya kupikia aina ya ALIZETI (siyo KORIE) weka mdomoni sukutua kwa robo saa hivi mpaka povu jeupe litokee - tema. Baadae unaweza kupiga mswaki kama kawaida - usipuuzie inasaidia sana nilijifunza dawa hii nilipokuwa nje - wenzetu wanajua sana alternative medicine. Yote tisa lakini ni vema kumuona daktari wa meno vile vile.Usisahau na juice ya ubuyu, ina vitamin c nyingi.