JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,394
- 9,676
Utafiti unaonesha, mtu akifika kileleni, mwili wake unapatwa na Msukumo mkubwa wa damu hivyo sehemu zenye michubuko zinaweza kutoa damu.
Mfano.. kama unapiga maswaki na kutokwa na damu kwenye fizi, hivyo hivyo Ukifika ama kufikishwa kileleni lazima utokwe na damu kwenye fizi. Na kidonda hasa kibichi lazima kitoe damu.
Tahadhari kwa wale watu wa kissing na romance.
Mtu akikaribia kileleni mtoe kwenye mdomo wako. Utakunywa damu.
Mfano.. kama unapiga maswaki na kutokwa na damu kwenye fizi, hivyo hivyo Ukifika ama kufikishwa kileleni lazima utokwe na damu kwenye fizi. Na kidonda hasa kibichi lazima kitoe damu.
Tahadhari kwa wale watu wa kissing na romance.
Mtu akikaribia kileleni mtoe kwenye mdomo wako. Utakunywa damu.