John Walter
Member
- Aug 14, 2017
- 64
- 62
Kuna muda iwe asubuhi mchana kuna wakati nikitema mate najikuta natema damu nyepesi...inasababishwa na nini hiyo hali?
Mkuu...sky Eclat,vp mouthwash unaitumiaje,make Kuna siku doctor aliniderect kutumia dawa hyo kwa siku 6,but baada ya kutumia kwa siku tatu fizi zangu zikaanza kuwa na mabaka meusi ikabidi nizame Google, ndo kukuta wanaseme you have to mix with distilled water.Fisi za mdomo zina cavity and plague. Nunua mouth wash usukutue baada ya kuswaki pia muone dentist
Una upungufu wa Vitamin C mwilini mwako kunywa kwa wingi Machungwa, na pia utengeneze Juisi ya limao kwa maji ya moto uwe unakunywa asubuhi na usiku kila siku utapona. Dawa ya pili tumia njia hii hapa itaweza kukusaidia.Naombeni mnisaidie fidhi zangu zinatoa damu mara kwa mara nimejaribu kubadili dawa za meno ninazotumia lakin wapi naombeni msaada
Sent using Jamii Forums mobile app