DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,470
Katika kanuni za TFF, CAF na hadi FIFA, hakuna kipengele kinachosema kuwa mechi inakamilika iwapo tu kutakuwa na mashabiki jukwaani.
Hizi nguvu mnazotumia kusema eti mechi isitangazwe, tiketi zisiuzwe, nk. hazina maana yoyote ile katika taratibu za mechi.
Kwanza mkumbuke tiketi za 08/03 bado zinatambulika na zitatumika tena 15/06 kwa hiyo zaidi ya 70% ya tiketi tayari zipo mikononi mwa wale waliokwisha nunua.
Hata ikitokea hatokei mtazamaji hata mmoja uwanjani, taratibu za mchezo zitafuatwa, Yanga asipotokea uwanjani, Simba itapewa pwenti zake 3 na goli 3 saaafi. Hii cleansheet tutampa Diarra ajalizie katika rekodi zake.
Bodi ya ligi haina ulazima wa kutoa HARAKA taarifa za Simba kupewa pwenti 3. Wanaweza kusubiri wiki nzima au hata wiki 2 au 3 kama ambavyo wamekuwa wanafanya kutoa taarifa za mwezi za ligi. Kwa hiyo msitumie chaka la baadae kusema eti Bodi inachelewa kutoa taarifa kwa makusudi.
Nyie mkishaona Simba imetokea uwanjani, taratibu zote za mchezo zimefuatwa, mwamuzi amesubiri muda unaotakiwa akamaliza mchezo mjue imeisha hiyo. Hapo hapo mchukue hizo hatua mnazotishia kuchukua na wala msisubiri.
Hizi nguvu mnazotumia kusema eti mechi isitangazwe, tiketi zisiuzwe, nk. hazina maana yoyote ile katika taratibu za mechi.
Kwanza mkumbuke tiketi za 08/03 bado zinatambulika na zitatumika tena 15/06 kwa hiyo zaidi ya 70% ya tiketi tayari zipo mikononi mwa wale waliokwisha nunua.
Hata ikitokea hatokei mtazamaji hata mmoja uwanjani, taratibu za mchezo zitafuatwa, Yanga asipotokea uwanjani, Simba itapewa pwenti zake 3 na goli 3 saaafi. Hii cleansheet tutampa Diarra ajalizie katika rekodi zake.
Bodi ya ligi haina ulazima wa kutoa HARAKA taarifa za Simba kupewa pwenti 3. Wanaweza kusubiri wiki nzima au hata wiki 2 au 3 kama ambavyo wamekuwa wanafanya kutoa taarifa za mwezi za ligi. Kwa hiyo msitumie chaka la baadae kusema eti Bodi inachelewa kutoa taarifa kwa makusudi.
Nyie mkishaona Simba imetokea uwanjani, taratibu zote za mchezo zimefuatwa, mwamuzi amesubiri muda unaotakiwa akamaliza mchezo mjue imeisha hiyo. Hapo hapo mchukue hizo hatua mnazotishia kuchukua na wala msisubiri.