Wewe ni wale mlioenda chuo kuchukua Bachelor siyo kusomea Fani, Hata uchaguz wako wa Course unathibitisha usivyotumia akili kwenye maamuzi yako.Umri wangu ni miaka 33
ELIMU yangu ni Bachelor of Mathematics
Endelea kutembea uchi wa mnyama maana una uchi wa akili, nimeambiwa bila shaka hata Chupi huvai maana huoni sababu yacwewe kufanya hivyo.Wewe sidhani kama una akili timamu!
Hebu niambie wewe kwanini unavaa suruali,labda kwakuwa wewe una akili timamu utaeleweka!
Ukiona mwanaume unavaa chupi utakuwa na matatizo ya kiakili!Endelea kutembea uchi wa mnyama maana una uchi wa akili, nimeambiwa bila shaka hata Chupi huvai maana huoni sababu yacwewe kufanya hivyo.
Nilijua wewe ni Mwanamke mwenzao kwa maana wao pia hawavai socks wala mkanda na Maadili yanawalinda katika hayo tena ndio watu wa kutafuta attention kama wewe.Ukiona mwanaume unavaa chupi utakuwa na matatizo ya kiakili!
Bila shaka na wewe una tatizo la afya ya akili!
Kujiita HOPELESS Wala hukukosea!Nilijua wewe ni Mwanamke mwenzao kwa maana wao pia hawavai socks wala mkanda na Maadili yanawalinda katika hayo tena ndio watu wa kutafuta attention kama wewe.
Kutumia picha ya P DIDDY ni kiashiria kabisa umeshajazwa mtulinga huko nyuma!Nilijua wewe ni Mwanamke mwenzao kwa maana wao pia hawavai socks wala mkanda na Maadili yanawalinda katika hayo tena ndio watu wa kutafuta attention kama wewe.
Sawa Mama.Kutumia picha ya P DIDDY ni kiashiria kabisa umeshajazwa mtulinga huko nyuma!
Nakubali Mama.Kujiita HOPELESS Wala hukukosea!
Wewe kweli ni HOPELESS
P didy amekufaidi kinoma,dadeeek!Sawa Mama.
Muke ya P diddyNakubali Mama.
Watu wajinga wakiishiwa hoja wanaanza matusu, uzi umekushinda fungua mwingine kuficha upumbavu wako.Muke ya P diddy
Wamama wa siku hizi mnapenda vijana.P didy amekufaidi kinoma,dadeeek!
Nitunuku na Mimi basi!
Bila shaka wewe mke wa Pdidy ndiye uliyeanza kunitukana!Watu wajinga wakiishiwa hoja wanaanza matusu, uzi umekushinda fungua mwingine kuficha upumbavu wako.
Kama ambavyo wewe ulimpenda Pdidy akakupakia wese!Wamama wa siku hizi mnapenda vijana.
Aisee hii ilinikuta siku ya Harusi yangu niligombana na Shahidi wangu wa Ndoa kisa kutovaa soksi mpaka ikabidi ituamue msajili ndoa mana ugomvi ulikuwa Mkubwa sanaaaaWa- mbulu na wa-Iraqi wote ni ndugu!
Wakuu kumekuwa na kasumba ya kwamba,kila unapovaa kiatu ni lazima uvae soksi!
Binafsi soksi nilivaa wakati nikiwa shule kwasababu ilikuwa ni lazima kwakuwa ilikuwa ni moja ya sare za shule!
Juzi moja nimeenda mahali fulani nikiwa nimekula suti (Kaunda suti ) ya mikono mirefu halafu chini sikuvaa soksi Bali nilipiga moka yangu safi nikawa nadunda kama kitenesi!,Kwakuwa Nina cheo mahali fulani !,nikawa nasikia maneno kutoka Kwa watu wangu wa karibu ya kwamba,eti wanazungumza kwamba kiongozi asiyevaa soksi ni Muhuni na hapaswi kuaminiwa!
Niliwashangaa sana watu wanaozungumza hivyo kwasababu wao yawezekana ndiyo wakawa na matatizo!
SABABU ZA WATU WENGI KUVAA SOKSI
1.Kama Urembo au utanashati!
2.Kubana vizuri mguu ndani ya kiatu!
Binafsi huwa nilivaa soksi nashindwa Kutembea vizuri kwasababu kiatu kinakuwa kama kinateleza!
Pia nikivaa soksi nakuwa nakosa uhuru wa kujiachia,!
Mwisho,naona kama kuvaa soksi ni Ushamba!
Kama mtaendelea kuniona Muhuni endeleeni kuniona Muhuni but siwezi kuvaa soksi kwasababu zinanikosesha uhuru!
Watu wengi wamekariri ujinga badala ya Uhalisia mkuu!Aisee hii ilinikuta siku ya Harusi yangu niligombana na Shahidi wangu wa Ndoa kisa kutovaa soksi mpaka ikabidi ituamue msajili ndoa mana ugomvi ulikuwa Mkubwa sanaaaa
Hii tabia ipo sana kwa Ndugu zangu Wairaq/ Wambulu wanaona kutovaa soksi ni uhuni duh!
Kabisa mkuuWatu wengi wamekariri ujinga badala ya Uhalisia mkuu!