n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Hapa Kakola:
Mkuu wa Mkoa, RPC na OCD wanaonekana kutumia nafasi zao kushawishi wananchi kuichagua CCM katika kata ya Bugalama. CHADEMA ina nguvu sana katika kata hii.
Katibu wa CCM wilaya ya Kahama - Shinyanga ametinga kwny kituo cha kupigia kura cha Bugalama akiwa na gari lake lenye nembo ya CCM (Jembe na Nyundo); Vincent Nyerere kamtimua!
Mgombea udiwani kata ya Bugalama kwa tiketi ya CHADEMA, Erasmus Malugu ametoweka katika mazingira ya kutatanisha tangu jana saa 2 usiku na hajulikani alipo. Familia yake inadai hata simu zake zote hazipatikani na wanahofia huenda katekwa na makasa wa CCM.
Naelekea Mwawaza
Mkuu wa Mkoa, RPC na OCD wanaonekana kutumia nafasi zao kushawishi wananchi kuichagua CCM katika kata ya Bugalama. CHADEMA ina nguvu sana katika kata hii.
Katibu wa CCM wilaya ya Kahama - Shinyanga ametinga kwny kituo cha kupigia kura cha Bugalama akiwa na gari lake lenye nembo ya CCM (Jembe na Nyundo); Vincent Nyerere kamtimua!
Mgombea udiwani kata ya Bugalama kwa tiketi ya CHADEMA, Erasmus Malugu ametoweka katika mazingira ya kutatanisha tangu jana saa 2 usiku na hajulikani alipo. Familia yake inadai hata simu zake zote hazipatikani na wanahofia huenda katekwa na makasa wa CCM.
Naelekea Mwawaza