Kutoka mtatoka tu maandamano yapo

Kutoka mtatoka tu maandamano yapo

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,370
Kila tarehe zinazopangwa kumbukeni mnatumia pesa za kujilinda ili msitoke madarakani.

Hapo hapo uchumi unasimama kwa muda kuogopa maandamano.

Hakuna balozi, kampuni wala serikali ambazo zitaweza kufanya kazi maana tarehe ikitolewa mnasimamisha kazi.
 
Kila tarehee zinazopangwa kumbukeni mnatumia pesa za kujilinda ili msitoke madarakani.

Hapo hapo uchumi una simama kwa mda kuogopa maandamano.

Hakuna balozi,kampuni wala serikali ambazo zitaweza kufanya kazi maana tarehee ikitolewa mnasimamisha kazi.
Maandamano yako palepale. Aftwr all maandamano yamefanikiwa, kama nchi imewekwa.lock down 24hrs, hayo ni mafanikio makubwa.
Pili the world is kept informed of the fragile situation in Tanzania!
 
Maandamano yako palepale. Aftwr all maandamano yamefanikiwa, kama nchi imewekwa.lock down 24hrs, hayo ni mafanikio makubwa.
Pili the world is kept informed of the fragile situation in Tanzania!
Mbona mnabadilisha sera si mlisema mtakuwa ikulu Leo na kiongozi wa serikali ya mpito atatangazwa.
 
Kwa hiyo hamtaki miili yenu tena , serikali pesa inakusanya hakuna mtu anatoa pesa zake . Wanakusanya pesa za kulipana kutoka kwenu🤣🤣wajinga nyie hamna kazi za kufanya .

Mmefanikiwa wapi maana mngetoka mkaona ,jitu kama mbwa linatoka kwao huku kuja kuandamana Dar ,likifa linapelekwa kwao kijijini.
 
Mimi kama mzalendo wa nchi sifurahishwi na maandamano ya kuchoma miundombinu pia nakerwa na serikali kufanya mambo ya kihuni kama utekaji,kuteuana kindugu na ukiukaji wa haki Kwa ujumla.Serikali iache kufanya mambo ya kipuuzi yanayosanabisha wananchi kupata hasira na wa wananchi kama wanataka kuandamana waandamane Kwa nidhamu yaani bila kuharibu vitu na polisi wasiwazuie.
 
Kwa hiyo hamtaki miili yenu tena , serikali pesa inakusanya hakuna mtu anatoa pesa zake . Wanakusanya pesa za kulipana kutoka kwenu🤣🤣wajinga nyie hamna kazi za kufanya .

Mmefanikiwa wapi maana mngetoka mkaona ,jitu kama mbwa linatoka kwao huku kuja kuandamana Dar ,likifa linapelekwa kwao kijijini.
Shida ya kupaniki mpaka mnashinda kuomba watu wasitoke nyie ndio wajinga
 
Hao askari wanalipwa ka kazi hiyo kwahiyo hakuna wanachopoteza , sasa wewe nyumbu unaetaka kuleta vurugu zako kisa umenogewa na mali za wizi ulizoiba October 29 toka tena uende ukaibe, safari hii hakuna huruma utakula risasi hapohapo ukiwa na mali za wizi ulizoiba .
 
Ninyi Gen Z kwani mnatumia Nini kufikiri? Hivi mkifanya hivyo yaani serikali ikose mpato au mapato yaende ulinzi then anayeumia nani?
 
Acha kua mjinga. Unapoteza muda ukija kushtuka utakuta ushazeeka.
 
Ninyi Gen Z kwani mnatumia Nini kufikiri? Hivi mkifanya hivyo yaani serikali ikose mpato au mapato yaende ulinzi then anayeumia nani?
Unauliza nani anayeumia?

Potelea mbali, hilo hakuna anayejali... kikubwa hii serikali haramu ikose pesa za kujiendesha ikiwemo kuwalipa nyie machawa.

Tunajua liberation ina gharama zake, na watu wamejiandaa kwa hilo.
 
Unauliza nani anayeumia?

Potelea mbali, hilo hakuna anayejali... kikubwa hii serikali haramu ikose pesa za kujiendesha ikiwemo kuwalipa nyie machawa.

Tunajua liberation ina gharama zake, na watu wamejiandaa kwa hilo.
Pole sana mkuu
 
Unauliza nani anayeumia?

Potelea mbali, hilo hakuna anayejali... kikubwa hii serikali haramu ikose pesa za kujiendesha ikiwemo kuwalipa nyie machawa.

Tunajua liberation ina gharama zake, na watu wamejiandaa kwa hilo.
Hatujafikia bado point of no return, ikifika hapo kila mtu atatoka bila hata kuanzisha thread zaidi ya 100 za hamasa

Na wale kina Sativa na Sarungi kupost zaidi ya mara elfu 10 kwa siku inaonesha wanatumia nguvu kubwa sana kushawishi wananchi ile ndo haitakiwi sasa
 
Kila tarehe zinazopangwa kumbukeni mnatumia pesa za kujilinda ili msitoke madarakani.

Hapo hapo uchumi unasimama kwa muda kuogopa maandamano.

Hakuna balozi, kampuni wala serikali ambazo zitaweza kufanya kazi maana tarehe ikitolewa mnasimamisha kazi.

Marekani wanamsemo wao kuwa; Ukimwachia mwanao akafanye political looting kwa kisingizio cha maandamano; nenda Polisi watakuekeleza Mochwari ya kuchukua mwili wake! ... hawarembeshi....

Kama una maarifa , ni bora uendelee kuishi kwenye hii dunia unayo ifaham kuliko kujipeleka kwenye Dunia nyingine ambayo hata hufaham kinachoendelea huko.......
 
Back
Top Bottom