Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 15,759
- 37,370
Kila tarehe zinazopangwa kumbukeni mnatumia pesa za kujilinda ili msitoke madarakani.
Hapo hapo uchumi unasimama kwa muda kuogopa maandamano.
Hakuna balozi, kampuni wala serikali ambazo zitaweza kufanya kazi maana tarehe ikitolewa mnasimamisha kazi.
Hapo hapo uchumi unasimama kwa muda kuogopa maandamano.
Hakuna balozi, kampuni wala serikali ambazo zitaweza kufanya kazi maana tarehe ikitolewa mnasimamisha kazi.