kijana ana post tatu tu....hii ni ya kwanza MMU...
1 billion.......
Tyta una faili la huyu jamaa ili nianze kuchangia?
Wana MMU, Umuofia kwenu!
Kuna kisa kimenikuta nimeona sehemu pekee ya kupata ushauri na mawazo mapana ni kwenu!
.......................
Hilo ndo linanitisha nikaona niliweke kwenu wadau!Karibuni kwa ushauri..
Hebu fikiria, katika wanawake /wanaume wote uliotembea nao kabla ama baada ya kuoa/kuolewa.
Ingetokea siku moja, wakati mmoja wakaja mbele yako ukiwa na mwenza wako kukushtaki kwake, unadhani ni yupi atakutia aibu sana kiasi kwamba ungejua b4 ungetumia gharama yeyote asije?
Pili; kama wewe ni mwanaume umeoa mwanamke unaemwamini sana, ukastaajabu hiyo siku, wale wapenzi wa mwanamke idadi yake ni zaidi ya mara kumi ya wale wa kwako, imani yako kwake itaendelea kuwepo?
AKAONGEZEA...mara nyingi wengi tunapooa tunasahau yaliyopita. ila viwembe ni kama panya vile kila siku wanasaka tundu jipya!
ANGALIA MANENO YAKO YASIKUHUKUMU...kukutana na wanawake/wanaume wa aina mbalimbali kabla ya kuoa au kuolewa inampa mtu uwezo wa kujua aina za watu kwenye anga za mapenzi; wanafiki, wazandiki, true lovers, cheaters, womanizers/menizers, infidelities, wife/husband material n.k, kama wakisimama mbele yenu na tayari ninyi ndo mmeshachaguana basi walie tu, na watambue kuwa wao walikuwa sample! upo hapo?
HAPA AKIMPIGA MKWARA MLA WAKE ZA WATU...KASAHAU YEYE ''MME WAS MTU''Wenye Pete wengi ndio wasaliti wakubwa kwenye ndoa zao.
AKIUNGA MKONO COMMITMENT YA NDOA...Kumbe unakula hadi wake za watu! Adhabu itakuwa imeanza pole pole, kuwa mwangalifu!
kama asili yake pete ina maana sana katika ndoa.
Ni ishara ya commitment kwa mume au mke wako na heshima kwa ndoa yenu. Unfortunately siku hizi wanandoa walio wengi hawazithamini inavyotakiwa ndo maana haya yanatokea.
Wengne wanachepuka anavua anaweka pemben anagegedwa na mchepuko akimaliza anavaa tena au wengne anagegedwa nayo kidoleni!
mytake:ndoa na iheshimiwe nawatu wote...uko sahihi 100% take my like!
1 billion.......
kijana ana post tatu tu....hii ni ya kwanza MMU...
AKIJICHANGIA HII MADA....Topic: Swali kwa waliooa/kuolewa
AKAONGEZEA...
ANGALIA MANENO YAKO YASIKUHUKUMU...
HAPA AKIMPIGA MKWARA MLA WAKE ZA WATU...KASAHAU YEYE ''MME WAS MTU''
AKIUNGA MKONO COMMITMENT YA NDOA...
mytake:ndoa na iheshimiwe nawatu wote...
Labda ni Nvinki Nkamate!Kha! Bilioni moja hii hii hela ya madafu? Katoa wapi mpunga wote huo?