Kutoka mke mtarajiwa hadi mchepuko

Kutoka mke mtarajiwa hadi mchepuko

Hadith za watoto wa Div-5

Kawambwa katuharibia Taifa.

umeharibika mwenyewe, wal usisingie division five. it's not necessary to comment if you're not interested!
 
Anasema kama pesa anazo lakini kakosa mwanamme aliyemwonyesha mapenzi ya kweli na aliyemfikisha kileleni kama mimi. Hilo ndo linanitisha nikaona niliweke kwenu wadau!

Karibuni kwa ushauri.
Hapa ndo wanaume wanvyodanganywa.....
 
Sory za kutunga zimekuwa nyingi sana MMU khaa!
One Billion ya Zimbabwe labda!
Rahisisha kama hivi:One Billion Tanzania shilling = 1,000 Million
Hela hiyo mkeo huyo unayasema unampenda ungemuacha tu na angekubali kuwa mchepuko kwa makubalino uwe unamkumbuka kwenye ufalme wako mpya!
Mpunga mrefu sana huo na huko USA mbona wengi sana wanaishi na kurudi hawajawahi kuja hata na 1/10 ya hela hiyo?
 
Wanawake ni vigeugeu sana. Kama alivyogairi kufunga ndoa na wewe ndivyo atakavyokuja gairi kuendelea na wewe. Hapo utakuwa huna familia tena na watoto wanateseka. Stay focused!
avatar yako noma mkuu
 

its not necessary to lie if you dont have a useful post

Let me wait till my temper goes down, then i'll have you get the reply you deserve!
 
Let me wait till my temper goes down, then i'll have you get the reply you deserve!
as your temper goes down..you can re-read the below comments...
story story story

Tyta una faili la huyu jamaa ili nianze kuchangia?

First mkeo sio material wife ni wife material...Halafu hili la one billion sounds like bongo movie...

Promoooo izo kwamba we ndio wajua kugegeda sana

Hadith za watoto wa Div-5

Kawambwa katuharibia Taifa.

Umuofia Oyeee...
Mkuu hapo kwenye one billion ondoa,itakua kamba hii.

story za viduku...do you kno one billion.

Nooo miss strong ni story ya Shigongo hii, please do not be fooled.. 1 bil mchezo..... watanzania wenye bil 1 hawafiki hata 100

Ingeweza kufanana na ukweli endapo usingeweka hayo maneno "bilioni 1"

haka kastory kanatufundisha nn

Unatuomba ushauri au unatupa story??

Sory za kutunga zimekuwa nyingi sana MMU khaa!
Siredi za kitoto hizi ....!

One billion mnaijua nyie????

I REPEAT..NEXT TIME COME UP WITH A BETTER SCRIPT
....
 
Eti 1 billion! Thubutuuu. Kweli namuungamkono mkwe.re kuwa kuna watu wanamiliki viwanda vya kuzalisha uongo
 
Ndugu unaonekana huna mambo ya maana ya kufanya? 1BN imekuchanganya hivi!!! Mpaka umenimaindi kiasi hiki?
 
kijana ana post tatu tu....hii ni ya kwanza MMU...



AKIJICHANGIA HII MADA....Topic: Swali kwa waliooa/kuolewa



AKAONGEZEA...

ANGALIA MANENO YAKO YASIKUHUKUMU...

HAPA AKIMPIGA MKWARA MLA WAKE ZA WATU...KASAHAU YEYE ''MME WAS MTU''

AKIUNGA MKONO COMMITMENT YA NDOA...


mytake:ndoa na iheshimiwe nawatu wote...

shikamoo tyta
 
as your temper goes down..you can re-read the below comments...

I REPEAT..NEXT TIME COME UP WITH
A BETTER SCRIPT
....


Does the content above justify the better script content?

dreaming stories never come true nor impress the mass. Think deeper and even beyond the seen premisses/horizons
 
Kama imani (dini) yako inaruhusu kuwa na wake wawili, mkeo karidhia, na una mpenda kweli, utakuwa hupendelei upande mmoja, just go ahead and marry her. Ila hiyo stori ya 1 bill sijainunua bado!
 
Back
Top Bottom