Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 61,627
- 74,474
Salam Wana MMU.
Baadhi ya wanandoa baada ya kufunga ndoa na kukaa miaka kadhaa na wengine hata bila kukaa sana kuna hii shida huwa inajitokeza:-
Baadhi wamekuwa wakipoteza Pete zao za ndoa kwa namna mbalimbali,ambazo kila mmoja anajua mwenyewe .
Baada ya kupoteza Pete ndoa huwa haivunjiki isipokuwa kuna baadhi ya wanandoa huamua kuvaa pete yoyote kidoleni kukamilisha zoezi la ishara kuwa ameowa/kuolewa !
Je? Mtu asipovaa hiyo pete ya ndoa huwa wanahisi nini? Ni kama ndoa haipo ama vp?
Karibuni kwa michango na hisia zenu kwania njema tu ya kuelimishana.
Baadhi ya wanandoa baada ya kufunga ndoa na kukaa miaka kadhaa na wengine hata bila kukaa sana kuna hii shida huwa inajitokeza:-
Baadhi wamekuwa wakipoteza Pete zao za ndoa kwa namna mbalimbali,ambazo kila mmoja anajua mwenyewe .
Baada ya kupoteza Pete ndoa huwa haivunjiki isipokuwa kuna baadhi ya wanandoa huamua kuvaa pete yoyote kidoleni kukamilisha zoezi la ishara kuwa ameowa/kuolewa !
Je? Mtu asipovaa hiyo pete ya ndoa huwa wanahisi nini? Ni kama ndoa haipo ama vp?
Karibuni kwa michango na hisia zenu kwania njema tu ya kuelimishana.