Kutoka Mahakama Kuu: Kesi ya Mbowe dhidi ya RC Makonda, RPC Sirro na ZCO Wambura

kwa kweli nchi hii kwa sasa ni vururu vururu tu. kila mtu yupo kivyakevyake. kila mtu anaonekana kupuuza sheria.. iwe watawala ima watawaliwa!

tunashuhudia uongozi (sorry, i mean utawala) unaotumia style ya matukio na matamko...

1. tamko la sukari...kila DC & RC aliitikia chorus yake
2. tamko la wafanyakazi hewa....DCs & RCs walidakia chorus
3. tamko la "njaa hakuna"....waitikiaji chorus ni wale wale
4. tamko la mihadarati....ndiyo habari ya mujini kwa sasa kwa waitikiaji chorus wote
5. nk, nk

where are our professionals and learned brothers/sisters waliomo kwenye cabinet?
 
da huyu ni nani aitwe bungen achomoe mahakamani pia kachomoa ?

kweli iko haja yakuomba ukimbiz nje
 
MAAMUZI MAHAKAMA KUU: Mahakama Kuu Dar imeamuru kuwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe asikamatwe wala kuwekwa kuzuizini hadi kesi yake dhidi ya RC Makonda, Kamishina Sirro na Mkuu wa Upelelezi Dar, Wambura itakaposikilizwa Ijumaa, wiki hii.[HASHTAG]#MwananchiLeo[/HASHTAG]

94187f59912f8cbc19d179aecbe0696a.jpg


[HASHTAG]#mwafa[/HASHTAG]
 
HAMTANIELEWA![/QUOTE]

Wewe ni msemaji wa upande huo?

Any way,

Kesi kama hizi ni kama kupoteza nguvukazi za watu (kodi) kwa faida ya wachache


Mfano,


Hii kesi inaweza kuzalisha chochote cha manufaa zaidi ya kumtoa mshindi ambaye hata hivyo sio wote watakubali ameshinda?


Tunahitaji kuachana na hizi siasa, REAL Tunaichelewesha Tanzania bila sababu

Hazina faida!


Kama Hapa ni kazi Tu,

Zifanyike kazi physical, Sio illusions ambazo zinakula TIME!


HAMTANIELEWA!
Kitu ambacho hukijui hachana nacho sio kuropoka wanasheria wanajua maana yake katika kutengeza precedent sio wewe usiyejua anachokisema nenda kaoge ulale.
 
Kila siku tunawaambia humu, msipende sana kufanya mambo ambayo nyie hamtaki kutendewa.
 
Wewe ni msemaji wa upande huo?

Any way,

Kesi kama hizi ni kama kupoteza nguvukazi za watu (kodi) kwa faida ya wachache


Mfano,


Hii kesi inaweza kuzalisha chochote cha manufaa zaidi ya kumtoa mshindi ambaye hata hivyo sio wote watakubali ameshinda?


Tunahitaji kuachana na hizi siasa, REAL Tunaichelewesha Tanzania bila sababu

Hazina faida!


Kama Hapa ni kazi Tu,

Zifanyike kazi physical, Sio illusions ambazo zinakula TIME!


HAMTANIELEWA!
Hichi ndicho nilichotegemea kutoka serikali hii. Lakini yenyewe ndio imekuwa kipaumbele kufanya siasa za media ambazo hazitufaidishi chochote.

Mkutano wa hadhara unaanza kuita watumishi mbele kuwahoji halafu unawatukana na kuwadhalilisha. Kwanini usifanye kazi matokeo yaonekane???

Yako mambo ya msingi nchi hii hatujafocus huko. Ni aibu vyombo vyote vya habari kujadili kukamatwa kwa Wema Sepetu. Kujadili kuitwa kwa mashoga. There are faaaaaaar more important things havizungumziwi. Ndio hasara ya siasa za kiafrika. Wakati haya yote yanatokea:

1.Dola imeimarika zaidi dhidi ya shilingi ndani ya mwezi mmoja tu (2200 to 2243).

2. Mfumuko wa bei ya vyakula umetoka 5.9% mpaka 8.3% kwa January peke yake.

3. Tatizo la ukosefu wa ajira hatujaona a serious step taken by government so far. Kwanini unapopanda jukwaani usiaddress vitu kama hivi wewe kama Kiongozi?

Serikali hii imeajiri wataalamu wengi sana kwenye Wizara lakini haiwaachi wafanye kazi yao. Fananisha hotuba ya Commissioner mpya wa Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya na zile hotuba za Makonda (aluzishindwa kutofautisha kati ya GPS na GPRS). Huyu commissioner anafahamu anachofanya kwa kua ni field yake. Viongozi hawa wa kisiasa hata kwa serikali hii bado ni vikwazo kwa wataalamu na wasomi b'se wanataka wafanye wanayotaka wao hata linapokuwa jambo la kitaalam (mfano rais kusema mawakili wanaotetea wahalifu nao wawekwe ndani).

Ifike mahali hii hapa kazi tu ireflect kwenye jamii. Viongozi jengeni umoja wa wananchi. Tupende taifa letu na tufanye kazi kwa bidii.
Tuna Rais ambaye uwezo wa kufanya taifa letu kuwa hivyo anao mkubwa sana. Akikubali tu ushauri huu.
 
kabla sija comment, niombe tu kama kuna mwenye petition ya kesi hiyo atuwekee hapa, ili tuweze kusaidiana kwa mchango wa mawazo and knowledge supports ili mambo yaende sawa. It seems ni mwanzo mzuri kwa wapenda haki popote walipo. kwa upande wa pili, Nilitarajia yafuatayo:-
  1. Mwenyekiti wa CHADEMA (Mbowe) afungue kesi ya madai dhidi ya udhalilishaji (Defamation) against Makonda, Sirro na wengine wote walioshiriki kwa namna moja ama nyingine. Ni kesi nzuri sana ambayo siyo tu kwamba mbowe atakuwa rewarded damages/compensation...bali itakuwa one of the remarkable precedents dhidi ya matumizi mabaya ya madaraka.
  2. Mbowe akaweke pingamizi la kudumu (permanent injuctory order) la kumzuia makonda, Polisi na wanasiasa wengine wote kum refer mbowe kama muuza unga or status yoyote na kwa namna yoyote inayohusiana na unga. Hii itasaidia sana kulinda jina lake na status yake kama mwanasiasa na kiongozi kwenye jamii..
  3. Aombe mahakama (In case ruling is on his favour) imwamuru makonda aiombe radhi Jamii, Mbowe mwenyewe na wafuasi na familia ya mbowe kwa udhalilishaji aliosababisha dhidi yao.....
 
Back
Top Bottom