mwakaboko
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,929
- 757
Kwa hiyo utawala wa sheria upuuzwe?Makonda Naomba usiende Mahakamani
Hii ni vita
Lazima watokee watu kukupinga
Fanya Kwa kumtanguliza mwenyezi mungu mbele
Utalipwa na Mwenyeziungu
Kwa hiyo utawala wa sheria upuuzwe?Makonda Naomba usiende Mahakamani
Hii ni vita
Lazima watokee watu kukupinga
Fanya Kwa kumtanguliza mwenyezi mungu mbele
Utalipwa na Mwenyeziungu
Tunasema lugha moja. Nimesema atashitakiwa.Hatashtakiwa na third party bali atashtakiwa na mwajiri wake ambaye ni serikali. Ww third part unatakiwa kuishtaki serikali kwa madhara uliyopata kutokana na maamuzi ya mtumishi huyo, then Serikali itamwajibishi mtumishi wake ikiwa kweli alitenda kinyume cha sheria.
Natumai haki itatendekaMakonda, Sirro na Wambura hawawezi kuacha kazi za kitaifa wakashinda mahakamani. Wataenda mawakili wa Serikali tu kwani washtakiwa no watumishi na walikuwq wqnatekeleza majukumu ya Jamhuri
hawana kazi huyu makonda kutwa yupo clauds ndo kazi tuliyomtuma hii leo asiende mahakamani ila clauds anaweza kwenda kutete acheti ambacho hana ? ficha upumbavu wako wakiitwa wataenda mahakama inayo amri hiyoMakonda, Sirro na Wambura hawawezi kuacha kazi za kitaifa wakashinda mahakamani. Wataenda mawakili wa Serikali tu kwani washtakiwa no watumishi na walikuwq wqnatekeleza majukumu ya Jamhuri
Atalipwa shilling ngapiMakonda Naomba usiende Mahakamani
Hii ni vita
Lazima watokee watu kukupinga
Fanya Kwa kumtanguliza mwenyezi mungu mbele
Utalipwa na Mwenyeziungu
Ni kweli mkuu ni upunguani wa kiwango cha juu kumshtaki jaji aliyehukumu kesi yako. Lakini ni upunguani uliopitiliza kiwango cha juu kufikiri tu kumlinganisha Makonda na jaji.Hivi kwanini Mbowe na mawakili wake Nguli hawakufungua mashtaka dhidi ya serikali toka mwanzo na sio Makonda, Sirro na Wambura maana washtakiwa siwatunga sheria wala Katiba . Ina maana wana sheria Hawa Nguli na Mbowe Mwenyewe hawakuliona hili? What was their motive kuwashtaki individuals ambao walikuwa wanatimiza wajibu wao??
Ni sawa sawa Leo nimwishtaki Jaji aliyeaamua Kesi Yangu/Kesi dhidi yangu? Itakuwa nimtendea haki huyo Jaji au nitakuwa nimeonyesha upunguani
Huyo mungu labda wako peke yako, lakini mungu wa wote hawezi kuwa upande wa makonda bwana yake masogange.Makonda Naomba usiende Mahakamani
Hii ni vita
Lazima watokee watu kukupinga
Fanya Kwa kumtanguliza mwenyezi mungu mbele
Utalipwa na Mwenyeziungu
GSM wamempa dola milion kadhaa kwa ajili ya kupambana na kila mtu anayehoji juu ya vyeti vyake na sasa yule mtangazaji wa Tabora anavuna pesa nyingi ili amsaidie makonda kwenye kukanusha.hawana kazi huyu makonda kutwa yupo clauds ndo kazi tuliyomtuma hii leo asiende mahakamani ila clauds anaweza kwenda kutete acheti ambacho hana ? ficha upumbavu wako wakiitwa wataenda mahakama inayo amri hiyo
wanasheria wa chadema wala sio chochote ni bongo lala ila kama kawaida yao wanasifiana kupindukia. wanafikiria mahakama inaweza kuchukua nafasi ya executive kutoa amri za kiutawala.Hatashtakiwa na third party bali atashtakiwa na mwajiri wake ambaye ni serikali. Ww third part unatakiwa kuishtaki serikali kwa madhara uliyopata kutokana na maamuzi ya mtumishi huyo, then Serikali itamwajibishi mtumishi wake ikiwa kweli alitenda kinyume cha sheria.
Huyo mungu labda wako peke yako, lakini mungu wa wote hawezi kuwa upande wa makonda bwana yake masogange.
Bangi ni mbaya hasa ukitumia bila kula, Kesi ya kikatiba huwezi kumstaki Makonda bila kumweka kwanza Mwanasheria Mkuu Kama first respondent ndio maana Nguli wa sheria wamekwama so farNi kweli mkuu ni upunguani wa kiwango cha juu kumshtaki jaji aliyehukumu kesi yako. Lakini ni upunguani uliopitiliza kiwango cha juu kufikiri tu kumlinganisha Makonda na jaji.
Kumbe ulishatumia bangi bila kula ndio ukagundua kwamba ni mbaya...wavuta bangi wenzako umewapa ushauri mzuri, nadhani watazingatia ushauri wako.Bangi ni mbaya hasa ukitumia bila kula, Kesi ya kikatiba huwezi kumstaki Makonda bila kumweka kwanza Mwanasheria Mkuu Kama first respondent ndio maana Nguli wa sheria wamekwama so far