ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 268
Kwaushahidi gani unaomtia hatiani bw Zitto kua katumwa kukivuruga chama? Ni akina nani walio mtuma? Mbona ktk yale makosa 11 anayo shtamuwa nayo hilo la kutumwa kukivuruga chama halipo? Acheni kumezeshwa mambo kama watoto wa ndege nyie.
JK ameithibitishia dunia kwa kitendo chake cha kumlilia Zitto hadharani...Alimpigia JK kampeni, Alitumia resource za chama kumpigia debe kafulila, Alishirikiana na Rostam kumtumia marehemu Wangwe ingawa Chacha baadae alikuja kukiri kuwa walikuwa wanamtumia na alipoanza kuishughulikia Mgodi wa Nyamongo akina Makamba Sr wakammada kisha wakalamba laptop na kuleta taarifa kupotosha! Alipoulizwa aliipate hiyo laptop ndani ya 15min baada ya ajali akafyata mkia... Zitto amehusika kwa 100% kuandaa na kuratibu movie ile ya Lwakatare yeye na Nchemba, Zoka na Nchimbi... Zitto alipewa docs za kulipua uwizi wa EPA, badala yake akaishia kwenda kwa Ballali kuvuta mkwanja, ilibidi Dr Slaa amwage data mwenyewe hadharani... Buzwagi saga? Kodi kwenye Makampuni ya Simu kimyaa baada ya kupewa uwakala wa kanda ya magharibi! ...Zitto ni FISADI kama waliomtuma kuihujumu CDM...Leo ndo mwisho wake rasmi ndan ta Chama...