miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
jinsi unavyo report unaonyesha tu kuwa unaongozwa na ushabiki.ila la msingi ni kwamba,tuache sheria ichukue nafasi yake,maamuzi ya mahakama ni vyema yaka heshimiwa kwa nyie nyote mlioko ktk eneo la tukio,awe zitto ama wapinzani wake
Na sisi ni wapinzani wake.....kama Zitto ameweza kukisaliti chama chake bas hiyo dhambi inamtafuna na hatabaki salama