Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,974
- 10,465
Zito kazi aliyotumwa bado hajaikamilisha ndio maana anang'ang'ania chama
Kumbe! Mie nilidhani angetoka CHADEMA ili ife km CCM wanavyotabiri.
Zito kazi aliyotumwa bado hajaikamilisha ndio maana anang'ang'ania chama
Kumbe Uko Upande Wa Mbowe Sitarajii Taarifa Bali Mapovu Tupu
Zitto n akili kubwa nyie vilaza kina mbowe kaz mnayo kummaliza Ziitooo
Te am,ZzK na democrasia ya kwel
Kama unaona kuna ushabiki,si uende na wewe mahakamani au uachane na hii thread? umelazimishwa kuifungua? inakuwaje gamba anatolea mimacho jambo lisilomuhusu? atapigwa chini soon jiandaeni kumpokea mamluki wenu tu!
Pasco unafurahisha eti wanatumika ina maana wewe hujitambui kama unatumika,Watu wa type hii Chadema wako wengi, walianzia kutumika kama dodoki, kasha kama dekio, then kama tp, sasa wanatumika kama hiyo kwenye bold, mwisho watatumika kama pe..!, wote hao mwisho wao ni kwenye bin tuu!.Pasco
"look at you"
kwa hisani ya ncheemba.
Hata IGP mpya, mama yake alimsomesha kwa hela za gongo. Mama yake mzazi alitoboa hiyo siri. Baba yake(IGP) alikuwa na wake sita,kila mwanamke alikuwa anahangaika na wanawe. Hii kitu imesaidia/inasaidia watu wengi, iboreshwe ili iwe halali.taarifa zisizo rasmi zaeleza kuwa mwenyekiti wa tume ya katiba alisomeshwa kwa fedha za mauzo ya gongo. sina uhakika kama wasira anapona kwenye hili.
wale vijana wa bavicha wa kwenda kumzomea zito walioandaliwa na slaa wameshafika hapo mahakamani?
kumbe kimbele-mbele chote hata kamati kuu haumo?
Kumbe kimbele-mbele chote hata kamati kuu haumo?
sa tatu ndio hii, mawakili wa chama wamesha fika ama bado, isije fanyika njama ya kuwawekwamisha njiani.
ndumyanaCheche Mtungi, zitto nilisoma naye Tosamaganga. Alikuwa mbele yangu.
Tabia mojawapo ya Zitto ni kujiamini kupita kiasi hata kama analoamini ni upuuzi
Tabia nyingine ni UBISHI WA ASILI.
Tabia ya Tatu ni KUSHINDANA NA MAMLAKA YOYOTE ILIYO JUU YAKE
Tabia ya nne ni KIBURI na DHARAU za KILIMBUKENI.
Sasa ukichanganya tabia zote nne na ukaongeza hii ya KUWA NA WASHAURI WAPUMB.AVU kama kina Omarilyasi ndio unaona maamuzi na mwenendo wa Zitto kwenye sakata lake vimekaa KILEVI-LEVI tu.
Huyu dogo sidhani hata kama ndoa ataiweza! Ni mjinga sana
Yericko Nyerere umenivunja mbavu sana mkuu, ama kwa uhakika unajua simulizi tena za kucreate suspense hahahaahaa eti nyuzi joto kama 26 hivi duuuuu