Kutoka Kikao cha UKAWA

Siku za mwanzo nilidhani una undugu na Mwalimu Nyerere (hivyo utasema ukweli daima bila woga), Lakini sasa hivi nikfungua post yako huwa ni kama napitia katuni za sani

Tatizo lako unapenda kusikia mambo matamu yenye uchungu ndani yake!Pole mwanachichiem! Watanzania sasa hatukubali tena khanga na tshirt!
 
Kinachowaunganisha wanaukawa wote kwa sasa ni slogan, sio itikadi mkuu.

Slogan yetu ni utaifa tu sio uzalendo wala ubwanyenye wa Lumumba

Utaifa bila uzalendo unakamilika kweli mkuu? au kwa kuwa uzalendo ni slogani ya ACT ndo maana unaipangua?....pia ukumbuke chama bila itikadi ni sawa na mtu bila kichwa.
 
Ukawa ni chadema,unategemea mgombea atoke CUF?

Independent-mind;
Mbona jina zuri saana hili halafu linakuwa ka limewekwa juu ya mti mchafu?? Kwenye kichwa chenyu mmejaa mawazo ya mgombea urais tuuu baasi.
Tunajua kuwa hata angetokea LND au NLD bado kubeza kwenyu kungekuwepo tu. Sawa jamani. Tunachokisema, si mabezo yenu yataacha kumchagua wa kupeperusha bendera ya UKAWA kama atatimiza masharti tuliyo kubaliana.
Mtanzania litangoja saana kitu cha kutusambaratisha nacho lakini halitakipata. Unaonaje, tukikubaliana kwamba, chama kitakachotoa mgombea urais kisiwe na majority ya wagombea ubunge, nyiye mkabaki kuangalia urais tukapeta kwa wabunge si hilo nalo ni bao??
Endeleeni na utoto wenyu, huku mwaliwaaaa:boxing::boxing:
 
mtanzania litangazwe rasmi kuwa adui namba moja wa chadema na ukawa, wanatunga mno!
Adui namba moja wa CHADEMA siyo ZITTO tena? Na kwa nini Mtanzania liwe adui namba moja wa CHADEMA na siyo UKAWA kwa sababu taarifa hii inahusu UKAWA na siyo CHADEMA? hapa kuna walakini.
 
Utaifa bila uzalendo unakamilika kweli mkuu? au kwa kuwa uzalendo ni slogani ya ACT ndo maana unaipangua?....pia ukumbuke chama bila itikadi ni sawa na mtu bila kichwa.

Huwezi kuwa na uzalendo kabla ya utaifa,

Kumbuka kuwa UKAWA sio chama, ndiomaana hawana itikadi moja,

Kinachowaunganisha ni kaulimbiu tua ama kwa lugha ya kigeni huitwa slogan.

Utaifa ndio jicho leo, utaifa wa Tanganyika, Utaifa wa Zanzibar na Utaifa wa Tanzania.

Serikali tatu nilazima sio ombi
 
Asante kwa taarifa, tunavuta subira huku tukisubiria taarifa kamili.

Endapo wewe ndie ofisa habari wa UKAWA, hongera sana, maana UKAWA imepata mtu!.

Pasco
 

mkuu, mimi si UKAWA wala si group la (CCM + ACT + TLP, etc). mimi ni mzalendo niliyekuwa miongoni mwa ile majority ambayo kamati iliyoteuliwa na kuaminiwa kukusanya maoni (Warioba Commission) ilisema tulipendekeza muundo wa serikali kama ulivyopendekezwa na tume.

kwa mantiki hiyo, kama utakuwa unawa-attack UKAWA as if wao ndiyo waasisi wa wazo hili "ovu" la S3 utakuwa unawaonea bure. lawama na laana zako zote uzielekeze kwetu sisi Watanzania wazalendo tuliopendekeza hili wazo ambalo obviously ni "haramu" from your point of view.

hilo moja. la pili ni kama baadhi ya wachangiaji wengine walivyosema kuwa federal govt ni kurasimisha the status quo...hapa sihitaji kufafanua kwani kila mtu anashuhudia jinsi ambavyo mambo yamekuwa yakipelekwa pelekwa huko Z'bar these past few years.

mzee wetu sheikh Aboud Jumbe si mjinga. wala mtoto wa mmoja wa waasisi wa muungano, Amani Karume. wala mmoja wa mawaziri waandamizi chini ya serikali ya Mwalimu, mzee Moyo. hawa wote si wajinga. kama ilivyo kwa sisi wazalendo tulio wengi tuliotoa maoni yetu kwa Warioba & co, they know exactly what direction this land should take ili kuondokana na ulaghai na nadharia za hawa opportunistic watawala wa sasa ambao leo wanamwita mmoja wao fisadi ghafla kesho yake wanamnadi kama "mchapakazi anayewajali watu wake". hapo nakuachia wewe upigie mstari na kuunganisha nukta mwenyewe!
 
Yericko Nyerere ni muongo, hata akisema saa hizi nje kuna mvua ingawa nnaisikia lakini mpaka nikatazame.

Anajidai kuandika kama vile yumo ndani ya hicho kikao. Na misukule inashangilia.

Mkuu FaizaFoxy,nakupa like tano za maandishi. Like,Like,Like,Like,Like.
Wajing.a ndio waliwao
 
Last edited by a moderator:

Njaa ya madaraka inawasumbua inshort ukawa hakuna kiongozi ambaye anafaa kuwa rais wa taifa hili zaidi ya ukwel kwamba wote wananjaa ya madaraka
 
Acha ukilaza.Kuna utaifa bila uzalendo sana tu.Mfano mafisadi nyote ni matanzania ila sio mazalendo.
Hamna uzalendo bila utaifa ila utaifa bila uzalendo upo tele.
Utaifa bila uzalendo unakamilika kweli mkuu? au kwa kuwa uzalendo ni slogani ya ACT ndo maana unaipangua?....pia ukumbuke chama bila itikadi ni sawa na mtu bila kichwa.
 
Unapo ingia kuswali naamini huwa unaacha malapa na ubongo mlangoni mwa hekalu, maamuma unaingia na kushindiliwa mawaidha kwenye empty head, baada ya kumaliza ibada inakubidi urudie malapa yako na ubongo wako ili ukusaidie kudadavua mawaidha kwa weledi. Lakini kwa maandiko yako, unamatatizo..., hayaendani na elimu yako, nakukumbusha rudi pale mlangoni hekaluni, kachukue ubongo wako, nahisi ulikumbuka kuondoka na malapa pekee.Haiwezekani msomi mzima kuendekeza udini namna hii.
 

Sasa hivi ni free style, anayecheza beat za umma ndiye anayefagiliwa regardless chama, ila asije kinafiki na kifisadi.
 
Utaifa bila uzalendo unakamilika kweli mkuu? au kwa kuwa uzalendo ni slogani ya ACT ndo maana unaipangua?....pia ukumbuke chama bila itikadi ni sawa na mtu bila kichwa.

Hamna mzalendo, mzalendo alikuwa ni marehemu Sokoine
 
siasa za Utengano ambazo sisi wengine zimetutoa Chadema na UKAWA sitoiunga mkono hata kwa nini na nipo hapa kuipiga vita...
Lini wewe uliwahi kuwa Chadema? nani hakujui ulivyokuwa unapinga uongozi wa Mbowe ukishirikiana na wasaliti wazi wazi, nakushauri kuliko kupoteza nguvu zako bure kuipiga vita UKAWA vita ambavyo utashindwa tena kama ulivyoshindwa vita vya uenyekiti wa Mbowe, bora hizo nguvu uzitumie kujenga chama chenu kipya cha wasaliti.
 
Adui namba moja wa CHADEMA siyo ZITTO tena? Na kwa nini Mtanzania liwe adui namba moja wa CHADEMA na siyo UKAWA kwa sababu taarifa hii inahusu UKAWA na siyo CHADEMA? hapa kuna walakini.

Umeona shidayao wao likija hili wamefuata
 
Acha ukilaza.Kuna utaifa bila uzalendo sana tu.Mfano mafisadi nyote ni matanzania ila sio mazalendo.
Hamna uzalendo bila utaifa ila utaifa bila uzalendo upo tele.
Huwa sipendelei kuargue na watu wenye akili za kiuendawazimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…