Kutoka Kikao cha UKAWA

Kutoka Kikao cha UKAWA

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,018
Reaction score
20,489
Wakuu wanamageuzi,

Poleni kwa propaganda za ccm kupitia magazeti yao ya Mtanzania nk.

Napenda kuwajuza kuwa kikao cha wakuu wa UKAWA bado kinaendelea vema kabisa, na mambo makubwa yote yameshapatiwa ufumbuzi ikiwemo taratibu za kumpata mgombea wa Urais na changamoto za vifungu vya katiba juu ya wagombea hao.

Pia utaratibu wa majimbo,vyote vimekamilika.

Hakuna chama kilichowasilisha barua yakujitoa wala aina yoyote ya kutokuelewana kunakoweza kupelekea kuvunjika kwa UKAWA kama ambavyo maadui zetu wanavyoeneza propaganda hizo,

Pia niwajuzi tu kuwa UKAWA hawajapokea ombi la mtu ama kikundi chochote kinachotaka kujiunga nao, na kwamba malengo na dhana nzima ya uwepo UKAWA yapo wazi kwa kila Mtanzania kuwa ni UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI, na slogan ya ukawa ni "Utaifa wa Uzanzibar, Utanganyika na Utanzania"

Hivyo kikundi chochote kinachotaka kujiunga na Ukawa ni lazima kikubali kujikana na kuyabeba malengo ya wanaukawa. Sio UKAWA ufuate matakwa ya kikundi hicho.

Vuteni subira wakuu wa ukawa watatoa tamko rasmi baada ya kumaliza kikao chao.
 
Mungu yuko na Ukawa, naamini ukombozi unakaribia.
 
mtanzania litangazwe rasmi kuwa adui namba moja wa chadema na ukawa, wanatunga mno!
 
Tunasubiri for more infor.....mkuu
 
Wakuu wanamageuzi,

Poleni kwa propaganda za ccm kupitia magazeti yao ya Mtanzania nk.

Napenda kuwajuza kuwa kikao cha wakuu wa UKAWA bado kinaendelea vema kabisa, na mambo makubwa yote yameshapatiwa ufumbuzi ikiwemo taratibu za kumpata mgombea wa Urais na changamoto za vifungu vya katiba juu ya wagombea hao.

Pia utaratibu wa majimbo,vyote vimekamilika.

Hakuna chama kilichowasilisha barua yakujitoa wala aina yoyote ya kutokuelewana kunakoweza kupelekea kuvunjika kwa UKAWA kama ambavyo maadui zetu wanavyoeneza propaganda hizo,

Pia niwajuzi tu kuwa UKAWA hawajapokea ombi la mtu ama kikundi chochote kinachotaka kujiunga nao, na kwamba malengo na dhana nzima ya uwepo UKAWA yapo wazi kwa kila Mtanzania kuwa ni UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI, na slogan ya ukawa ni "Utaifa wa Uzanzibar, Utanganyika na Utanzania"

Hivyo kikundi chochote kinachotaka kujiunga na Ukawa ni lazima kikubali kujikana na kuyabeba malengo ya wanaukawa. Sio UKAWA ufuate matakwa ya kikundi hicho.

Vuteni subira wakuu wa ukawa watatoa tamko rasmi baada ya kumaliza kikao chao.
Nashukuru sana kwa kutupa taarifa hii na nafurahi sana kwa Ufafanuo wako wa Slogan ya UKAWA kuwa ni UZANZIBAR, UTANGANYIKA na UTANZANIA, Kesho itakuwa Uislaam, Ukristu na Utanzania kwani kila utengano huanza na cheche...
 
Ahsante kamanda, hawa ccm na mchepuko wao act watakosa la kusema

Usipo weka chuki yako ktk post yako hujisikii et, najua nyie mmesha pata cheti cha matusi,chuki na kufuata mkumbo
 
UKAWA ndo habari ya ukombozi toka kwa mkoloni mweusi. Magamba tupa kule.
 
Wakuu wanamageuzi,

Poleni kwa propaganda za ccm kupitia magazeti yao ya Mtanzania nk.

Napenda kuwajuza kuwa kikao cha wakuu wa UKAWA bado kinaendelea vema kabisa, na mambo makubwa yote yameshapatiwa ufumbuzi ikiwemo taratibu za kumpata mgombea wa Urais na changamoto za vifungu vya katiba juu ya wagombea hao.

Pia utaratibu wa majimbo,vyote vimekamilika.

Hakuna chama kilichowasilisha barua yakujitoa wala aina yoyote ya kutokuelewana kunakoweza kupelekea kuvunjika kwa UKAWA kama ambavyo maadui zetu wanavyoeneza propaganda hizo,

Pia niwajuzi tu kuwa UKAWA hawajapokea ombi la mtu ama kikundi chochote kinachotaka kujiunga nao, na kwamba malengo na dhana nzima ya uwepo UKAWA yapo wazi kwa kila Mtanzania kuwa ni UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI, na slogan ya ukawa ni "Utaifa wa Uzanzibar, Utanganyika na Utanzania"

Hivyo kikundi chochote kinachotaka kujiunga na Ukawa ni lazima kikubali kujikana na kuyabeba malengo ya wanaukawa. Sio UKAWA ufuate matakwa ya kikundi hicho.

Vuteni subira wakuu wa ukawa watatoa tamko rasmi baada ya kumaliza kikao chao.
Siku za mwanzo nilidhani una undugu na Mwalimu Nyerere (hivyo utasema ukweli daima bila woga), Lakini sasa hivi nikfungua post yako huwa ni kama napitia katuni za sani
 
Nashukuru sana kwa kutupa taarifa hii na nafurahi sana kwa Ufafanuo wako wa Slogan ya UKAWA kuwa ni UZANZIBAR, UTANGANYIKA na UTANZANIA, Kesho itakuwa Uislaam, Ukristu na Utanzania kwani kila utengano huanza na cheche...
ila Msaliti hatumtaki
 
Siku za mwanzo nilidhani una undugu na Mwalimu Nyerere (hivyo utasema ukweli daima bila woga), Lakini sasa hivi nikfungua post yako huwa ni kama napitia katuni za sani

Haya sasa kunaukweli mwingine ndugu
 
Back
Top Bottom