Kutoka kibaha hadi Chalinze kuna nini kwenye njia hii ?

Kutoka kibaha hadi Chalinze kuna nini kwenye njia hii ?

Siri yangu

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2023
Posts
1,847
Reaction score
3,746
Wakuu nipo safarini napita njia hii morogoro road kutoka kibaha mpaka Ruvu darajani hapaeleweki na hili sio leo imekuwa sugu wenye mamlaka mtuambie shida ni nini?

Hata mkituambia ni wingi wa malori bado siwezi kuamini kama ni kweli Trafic kila baada ya hatua kumi wanafanya nini wananchi tunateseka namna hii?
 
Kibaha Mji kwa sasa ni Manispaa kuanzia Juni 2025

Chalinze ni Mji unaokuwa kwa kasi na watu wanaongezeka sana.

Magari yanaongezeka sana.

Ardhi sasa hivi inapanda bei.

👇


Kuna MASHAMBA Vigwaza-Buyuni, Chalinze, karibu na Buyuni Centre.

Umiliki ni uhakika: yanamilikiwa kihalali na yana Hati ya Serikali ya Kijiji cha Buyuni.


Umbali: km 10 toka Morogoro Road, na km 1 toka Centre ya Buyuni

Huduma za kijamii; shule, maji, umeme, na maduka zipo karibu.

Ni upande wa kulia kama unatokea Dar es Salaam kwenda Chalinze.

Mashamba yanafaa kwa kilimo, mifugo na makazi.

Mazao kama mbaazi, nanasi, mihogo, mahindi, migomba, korosho yanastawi sana.

Vigwaza ipo katikati ya Ruvu na Chalinze

Bei ya shamba ni milioni 2 kwa heka moja.

Zimebaki heka chache.

Maongezi yapo

Simu: 0781 694 294
 
Kibaha Mji kwa sasa ni Manispaa kuanzia Juni 2025

Chalinze ni Mji unaokuwa kwa kasi na watu wanaongezeka sana.

Magari yanaongezeka sana.

Ardhi sasa hivi inapanda bei.

👇


Kuna MASHAMBA Vigwaza-Buyuni, Chalinze, karibu na Buyuni Centre.

Umiliki ni uhakika: yanamilikiwa kihalali na yana Hati ya Serikali ya Kijiji cha Buyuni.


Umbali: km 10 toka Morogoro Road, na km 1 toka Centre ya Buyuni

Huduma za kijamii; shule, maji, umeme, na maduka zipo karibu.

Ni upande wa kulia kama unatokea Dar es Salaam kwenda Chalinze.

Mashamba yanafaa kwa kilimo, mifugo na makazi.

Mazao kama mbaazi, nanasi, mihogo, mahindi, migomba, korosho yanastawi sana.

Vigwaza ipo katikati ya Ruvu na Chalinze

Bei ya shamba ni milioni 2 kwa heka moja.

Zimebaki heka chache.

Maongezi yapo

Simu: 0781 694 294
Acha kuleta njaa zako kwenye mijadala inayohutaji majibu ya kina watu wanaumia wewe umetanguliza njaaa
 
Kwasasa ukiwaza safari bora upite njia ya bagamoyo ukatokee msoga jana nilikaa foleni masaa mawili na nusu na hapo nilikuwa gogoni naitafuta picha ya ndege
 
wenye mamlaka tokeni msaidie wananchi hasa mabasi yapite na magari madogo
 
Back
Top Bottom