Omary Mahayu
Member
- Apr 8, 2024
- 28
- 16
Mkuu Imagine kama ni Ofisi ambayo ina wafanyakazi 20 ukiwanunulia bando la laki 9 kwa mwaka.ina maana Gharama yako kwa GB moja ya DATA ni Shilingi 500.Kila mwezi unakuwa na GB 130+.Yan kabsa nachukua laki 9 naunga mb😳😳😱
😂😂 Wacha niendelee kuimagine io ofis one day yes🤣🤣Mkuu Imagine kama ni Ofisi ambayo ina wafanyakazi 20 ukiwanunulia bando la laki 9 kwa mwaka.ina maana Gharama yako kwa GB moja ya DATA ni Shilingi 500.Kila mwezi unakuwa na GB 130+.
Soeed yake imeongezwa ndio maana huduma ya kupiga na SMS haipo. Yaani ina speed ya hatarispid yake vipi?
Bei imeshuka na speed imeongezwaWameanza kushusha bei sasa
Hapo SASA umeanza kuelewa.Kwani huamni kwamba unaweza kuwa na Ofisi ya ya watu 20.Unaamua tuna inawezekana kabisa😂😂 Wacha niendelee kuimagine io ofis one day yes🤣🤣
Thank youHapo SASA umeanza kuelewa.Kwani huamni kwamba unaweza kuwa na Ofisi ya ya watu 20.Unaamua tuna inawezekana kabisa
Inakuwa kwa matumizi ya ofisiYan kabsa nachukua laki 9 naunga mb😳😳😱
Unaunganishq hotspot, au unaiweka kwenye router, mini-router, CCTV, Tracking devices.Haikubali hata simu moja acheni ubabaishaji