Hawa Jamaa wametoa hela wapi ya kurusha matangazo live kwenye channels kibao?
Sasa ni zamu ya Mwigulu Nchemba na anatarajia kutangaza nia kuanzia saa 9 mchana wa leo na atafanya hivyo live kupitia star tv akiwa Chuo cha Mipango, Dodoma.
View attachment 255981
Muda: saa 9 Alasiri hadi Saa 12 Jion.
Mahali: Chuo cha Mipango Dodoma.
Ukumbi: Mwl. Nyerere Hall
Umekosa hoja!Asante kwa kufatilia mchakato wa wana CCM maana UKAWA hakuna nafasi wala uhuru ...
Fuso tano zimepanda UDOM kusombelea mataahira.
amekodi watu kama mwenzake wa jana Lowasa?Kakodi mengi sana kwa kweli naona yamejaa hapa UDOM na wanafunzi wanazidi kumiminika kuingia kwenye gari.
Nchi hii ni shidaaaaa!!!!!