Mkuu kuna mtoto wake mmoja alikuwa pilot bahati mbaya wakati wa mwanzo kabisa wa vita alikufa baada ya ndege aliyokuwa akiirusha kutunguliwa na friendly fire kule ziwa victoria - Musoma.
Mkuu, watoto wa Mwalimu wote wako hai
Mkuu kuna mtoto wake mmoja alikuwa pilot bahati mbaya wakati wa mwanzo kabisa wa vita alikufa baada ya ndege aliyokuwa akiirusha kutunguliwa na friendly fire kule ziwa victoria - Musoma.
Sio beast ni best, umesoma st Kayumba nini?
Kapewa muda mreefu wa kuomba kura. Lakini Kajieleza vizuri sana. Wish him luck!
Sio beast ni best, umesoma st Kayumba nini?
Jambo moja naliona hapa: Watu wanaotaka vyeo wawe wanahojiwa hadharani kama walivyofanya leo. Tumeona nani ni nani na nani anafaa.
I meet Madaraka so often at Mwitongo, he's intelligent and down to earth always...
Mwalimu aliwafunza vema sana wanae lol..
Sio beast ni best, umesoma st Kayumba nini?
[count]
1 old-fashioned : an animal
▪ dogs and other four-footed beasts ▪ wild beasts ▪ the birds and beasts of the forest ▪ a conflict between man and beast [=between human beings and animals] ; especially : a wild animal that is large, dangerous, or unusual
▪ They were attacked by a savage beast. ▪ a story about a mythical/imaginary beast [=creature] with two heads
2 old-fashioned : an unkind or cruel person
▪ He's a cruel, hateful beast! ▪ her beast of a husband [=her husband who is a beast]
3 informal : a person or thing of a particular kind
▪ Reading modern English is one thing, but understanding Shakespeare is an entirely different beast. [=is an entirely different thing; is entirely different] ▪ a powerful political beast [=a powerful politician]
Jamani tupeni linki na siye tusikilize
Anzisha thread yake hapa tusichanganyane.....Hivi Makongoro yuko UWT? wenye details.
Duh mkuu badala ya kusahihisha wewe ndio unakosea:-Sio beast ni best, umesoma st Kayumba nini?
Swali la profesa kahigi la language litampa promo....bora asingeuliza
Duh mkuu badala ya kusahihisha wewe ndio unakosea:-
Wazanzibar wanalawama sana nao, then wagumu kuelewa duh!