Kutoka Bungeni: Sugu ajibu tuhuma za kupora mtoto kutoka kwa mzazi mwenzake

Status
Not open for further replies.
A.jpg


hivi huyu unaweza sema sio responsible parent kweli

1345464260_890105_1345464499_noticia_normal.jpg


samantha cameron at beach.


Kila kitu kina mahala pake na muda wake, anapokuwa mzazi atakuwa anafanya yanoyo husu malezi; na atakapo kuwa na muda wake she entitled for her Faiza time to express herself nguo anazo vaa mida ya usiku zina husiana vipi na malezi ya mtoto tena sehemu za watu wazima.

Ukute kuna watu awajui daftari la mtoto linafananaje wao tuition tu, mtu anayepiga picha kila mara na mtoto wake mwenye furaha na katika mazingira ya malezi bora kama ajengi nae sand castles ufukweni basi anafanya nae homework; sasa nguo anazovaa katika muda na sehemu za utu uzima
kama ndiyo hizi akili za graduate wa degree kweli africa tuna safari ndefu! R.I.P Africa tutakukumbuka daima
 
Sugu huwa nakuona kama mlopokaji tu bungeni.Kumbe unazo busara sana wakati mwingne.Umefanya kitu kizuri sana sio sahihi pekee bali kwa wakati sahihi.Hongera SUGU.
 
Naji aibisha kivipi ujawahi kwenda ata sehemu yenye swimming pool ukaona watu wanavyo vyaa? Kwa taarifa tu ukifika umemvalisha binti yako gauni hakuna guard atakae mwacha aogelee linaweza mfunika akiingia majini na kumpotezea maisha.

Kila mtu ana haki sawa na huyo Faiza ana haki hizo hizo ya kuwa mzazi nimemsikiliza sugu he is very responsible towards his daughter, lakini hana haki ya kumwita mzazi mwenzie hafai kisa maadili mabovu. Hayo maadili mabovu yako wapi ajapigwa picha kaanguka kalewa, ajapigwa picha anabwiya unga, ajapigwa picha mtoto mchafu, Sugu ajalalamikia hela anayo pelekewa mwanawe na baba yake aitumiki sahihi.

Sasa huo uzazi mmbaya huko wapi.

Tatizo ni kuwa hili swala limechukua sura ya siasa, lakini ilitakiwa kufungua pandora box ya maadili, haki za wazazi na parenting as as a social case study maana kuna wengi nyuma watakuwa wanaonewa.

Na ndio makosa tunayofanya hili si swala la siasa kazi ya sugu si kulea kwenye siasa, bali issue parental rights.



Wataalam wote wa masuala ya mahusiano iwe kazini,kwenye ndoa au katika malezi wanakwambia kwamba kuongoza au kulea kwa mifano ndiyo njia bora zaidi itakatokuhakikishia matokeo mazuri unayoyatufa ndani ya hayo mahusiano.
Huwezi kujifanya unampenda mwenzi wako kwa kusema maneno haya kisha unamtenda vile,kwakweli mwenza wako hatakuelewa kabisa na kitakachofuata nadhani mwenyewe unakijua....Katika ishu ya mtoto Sasha, inaeleweka vizuri tu kwamba mtoto tangu akiwa katika umri mdogo hujifunza kila kitu kutoka kwa wakubwa,na mara nyingi hawa huwa ni wazazi wake ambao wanaplay big part in her development as a child,kila anachofanya mzazi wake mtoto hukiiga na kwakuwa katika umri ule uwezo wao wa kuchuja taarifa kujua ipi inafaa kuchukuliwa na ipi haifai kuchukuliwa ni mdogo,ataiga kila kitu anachokiona kwa mzazi wake akiamini ni kitu kinachofaa na kukubalika,"mbona mzazi wangu anafanya?"Naye atafanya tu.Mazingira anayoyajenga
Faiza kwa mtoto wake ni mazingira hatarishi (toxic environment) kimalezi hasa kwa jamii kama hii yetu ya Kitanzania ambayo inapingana maadili haya mabovu ya uvaaji nguo yenye chembe chembe za Umagharibi.
 
kama ndiyo hizi akili za graduate wa degree kweli africa tuna safari ndefu! R.I.P Africa tutakukumbuka daima
Watu wana evolve kila kitu kina muda wake na mahala pake hiyo ndio message hapo juu kwenye picha.

Sasa ukisema lianze swala la welfare ya 'Sasha Sugu' na her rights na Sugu amekiri mtoto amekuwa akiishi na mama yake tangu kuzaliwa. Ukikutana na jaji mwanamke mwenye hisia kali mwalimu aje sasha ni msafi darasani, anafany home work zake, ana mahudhurio mazuri, majirani waje waseme mtoto ni mcheshi ana angaliwa vizuri, yupo kwenye nyumba iliyo salama, mama hana marafiki walevi, wala watumia madawa, mtoto ana strong emotional attachment na mama yake.

Huyo mama hakimu anaweza toa chozi kwa unyanyasaji wa mwanamke mwenzie kisa kapiga picha tuu akiwa kwenye muda wake ndio achukuliwe mtoto. Jinsi psychological torture anayoweza pata kwanza mtoto ambaye kisheria ni vulnerable na hana maamuzi yake hivyo lazima alindwe psychologically, emotionally, socially (uwezi kumbadilishia mazingira bila ya kujali mazoea yake kisa uelewani na mama yake) mtoto kaulizwa anapendezea kukaa wapi kati ya baba na mama, hivi vitu sio rahisi kama mnavyodhani some people take rights very seriously its the essence of western politics.
 
Eric Cartman at least kwa photos za beach inaweza kueleweka

Lakini kwa zile zingine kama za KTMA unamteteaje mwanamke kama yule?

Zile za kuvaa Pampas unamteteaje mwanamke kama yule?

Tena Baba Sasha amevumilia sana tu

Pia sidhani kama Sugu pia hana mapungufu yake ...Lah...Lakini si sahihi kumwacha mtoto katika hali ile
 
Last edited by a moderator:
Mjinga ni matha mlata!
Joseph kamshangaa mambo binafsi kupeleka bungeni

Bunge hili linaundwa na watanzanaia na hao ndo wenye tabia za kujadili watu na sio issue,hii si mara ya kwanza kwa Bunge la Tanzania kujadili watu tena mambo binafsi ya watu tena yasiyo na tija kwa mtu yeyote.Kuna wakat kuliibuka issue ya wabunge KUDINYANA hope mnakumbuka wakayazima kimyakimya..........changamoto zilizopo Tanzania si wakat wa kujadili mambo binafsi ya mtu,ila ndo wabunge wetu hao na wananchi tunawachekea tu.
Bunge limekumbwa na
1.Rushwa
2.Matusi
3.Mipasho
4.Kujadili ujinga kama huu wa leo
 
Ni kweli mkuu,watu walioachika tu ndio wanaozungumzia ndoa za watu!

Mara nyingi kila mwanamke aliyeachika anakua adui namba moja wa ndoa ya mwanamke mwenzie lengo likiwa ni kuongezana ili kupata faraja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom