Joseph Mbilinyi aka Sugu ni nani? Kwanini Mabalozi wanapishana tu ofisini kwake kwa Mazungumzo?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,774
145,697
Huyu mwanamuziki wa Kizazi Kipya, Nguli wa Siasa za Tanzania, ambaye aliporwa project yake ya Malaria No More lakini hakukata tamaa, Kijana aliyewashughulikia Mawingu bila kuingia Ofisini kwao na Mitutu ya bunduki na Mbunge pekee wa Upinzani aliyebebwa mzobemzobe na police kutolewa Ndani ya Bunge lakini ni Mbunge pekee wa Upinzani aliyepanda Gari la Rais wa JMT Shujaa Magufuli na Rais Dr Samia kuhudhuria Sherehe yake ya Birthday?

Joseph Mbilinyi aka Sugu Moto Chini ni nani hasa hata Marekani, USA, Russia, China, Israel na Iran Wampe Heshima iliyotukuka?

Mapembelo vavene 😃😃

Kwenu Lucas na ChoiceVariable 😂🔥
 
Moja inaonekana unamfahamu sana huyu bwana.
Mbili kumbe wewe ni ndugu yake. Kwanini unataka kumfahamu kwa sisi wana daslam.
Tatu nchi zote hizo katembelewa na mabolozi wake wapi.
Nne kama kiongozi, ambaye anaweza fanya mabadiriko ana mengi ya kubadirishana mawazo na watu hao hivo ni sawa akikutana nao, ulitaka mabalozi waende kwa zuchu? Ujue kuna jambo.

Ila la mwisho, ulisikia story ya malanga jumapili, umefatilia au uliishia kuona video ya mtoto wake akiwa chini ya ulinzi?
Malanga Ni hatari, Ni bwana mdogo tu, ila safarii za mabalozi, maraisi , wachungaji wakubwa duniani, diplomatics wa maana hazikuwahi kukauka, mpaka mwaka juzi alipoaanza kujifua na kuibuka juzi jumapili.

Anything may be on line na sugu, kuacha kutafuta umaarufu na pesa. Nacho ni kujifua kisiasa, kuwa raisi, kuwa Waziri, kuwa balozi au kufanya revolution katika nchi hii.
Asante
 
Yule bi betina kama namuona anavyonuna na kuumia ww mwenye jimbo hupati ugeni mzito harafu kuna jamaa tu anapata ugeni mzito kila mara lazima ukonde🤣🤣🤣Lucas kwani nn hutokwi na machozi ya furaha kwa kumuona mtoto wa mbeya anapendwa na watu wazito🤣
Yule ni mshirikina hana maarifa yoyote wazungu hawezi kwenda kwake
 
Yule bi betina kama namuona anavyonuna na kuumia ww mwenye jimbo hupati ugeni mzito harafu kuna jamaa tu anapata ugeni mzito kila mara lazima ukonde🤣🤣🤣Lucas kwani nn hutokwi na machozi ya furaha kwa kumuona mtoto wa mbeya anapendwa na watu wazito🤣
😃😃😃Dkt Tulia yupo huko Duniani ambako wazungu wanapishana milangoni na kupanga foleni ya kutaka kuonana naye. Si umemuona huko Vienna Autria
 
Huyu mwanamuziki wa Kizazi Kipya, Nguli wa Siasa za Tanzania, ambaye aliporwa project yake ya Malaria No More lakini hakukata tamaa, Kijana aliyewashughulikia Mawingu bila kuingia Ofisini kwao na Mitutu ya bunduki na Mbunge pekee wa Upinzani aliyebebwa mzobemzobe na police kutolewa Ndani ya Bunge lakini ni Mbunge pekee wa Upinzani aliyepanda Gari la Rais wa JMT Shujaa Magufuli na Rais Dr Samia kuhudhuria Sherehe yake ya Birthday?

Joseph Mbilinyi aka Sugu Moto Chini ni nani hasa hata Marekani, USA, Russia, China, Israel na Iran Wampe Heshima iliyotukuka?

Mapembelo vavene 😃😃

Kwenu Lucas na ChoiceVariable 😂🔥
Hawa wapo kwenye kongamano lao Mwanza
 
Huyu mwanamuziki wa Kizazi Kipya, Nguli wa Siasa za Tanzania, ambaye aliporwa project yake ya Malaria No More lakini hakukata tamaa, Kijana aliyewashughulikia Mawingu bila kuingia Ofisini kwao na Mitutu ya bunduki na Mbunge pekee wa Upinzani aliyebebwa mzobemzobe na police kutolewa Ndani ya Bunge lakini ni Mbunge pekee wa Upinzani aliyepanda Gari la Rais wa JMT Shujaa Magufuli na Rais Dr Samia kuhudhuria Sherehe yake ya Birthday?

Joseph Mbilinyi aka Sugu Moto Chini ni nani hasa hata Marekani, USA, Russia, China, Israel na Iran Wampe Heshima iliyotukuka?

Mapembelo vavene 😃😃

Kwenu Lucas na ChoiceVariable 😂🔥
NOTHING WONDER!, UHODARI WA KUTUMA BARUA KATIKA BALOZI MBALIMBALI, THAT ALL!
->Mwenye nafasi anamtembelea.....
N. B,
Yeyote anaweza kumwalika balozi alimradi uwe mambo ya msingi juu ya wito unaoutuma,
-Siasa
-Mambo ya kijamii
-N. K.
 
Huyu mwanamuziki wa Kizazi Kipya, Nguli wa Siasa za Tanzania, ambaye aliporwa project yake ya Malaria No More lakini hakukata tamaa, Kijana aliyewashughulikia Mawingu bila kuingia Ofisini kwao na Mitutu ya bunduki na Mbunge pekee wa Upinzani aliyebebwa mzobemzobe na police kutolewa Ndani ya Bunge lakini ni Mbunge pekee wa Upinzani aliyepanda Gari la Rais wa JMT Shujaa Magufuli na Rais Dr Samia kuhudhuria Sherehe yake ya Birthday?

Joseph Mbilinyi aka Sugu Moto Chini ni nani hasa hata Marekani, USA, Russia, China, Israel na Iran Wampe Heshima iliyotukuka?

Mapembelo vavene 😃😃

Kwenu Lucas na ChoiceVariable 😂🔥
Wenzetu ni akili kubwa, wanaangalia potential, na jinsi wanavyoweza kufaidika na MTU, kuwafikia vijana, kusambaza u tamaduni wao, wana deal na MTU mwenye ushawishi, vile vile, wanaweza kumtumia kama informer, kujua Hari ya kisiasa kwa wananchi wa kawida, vile vile, wanavutiwa na anayeongea kizungu vzr, huwezi kuwaona wakifanya mazungumzo na Diamond au Kiba, wanajua wale, kwanza ni islam, pili rugha ya malikia haipandi
 
Wenzetu ni akili kubwa, wanaangalia potential, na jinsi wanavyoweza kufaidika na MTU, kuwafikia vijana, kusambaza u tamaduni wao, wana deal na MTU mwenye ushawishi, vile vile, wanaweza kumtumia kama informer, kujua Hari ya kisiasa kwa wananchi wa kawida, vile vile, wanavutiwa na anayeongea kizungu vzr, huwezi kuwaona wakifanya mazungumzo na Diamond au Kiba, wanajua wale, kwanza ni islam, pili rugha ya malikia haipandi
Jinga udini unahusu nini hapo?
-Kwa hiyo mtu kumwalika balozi kwa chadema ndio akili kubwa?
 
Back
Top Bottom