Hapapendi kabsa kaamua kughairi kijanjaKwa hiyo muda ambao rais atakuwa amehamia dodoma kama makaazi ramsi hautazidi miezi 6 kabla ya kampeni ya uchaguzi hiyo 2020. Kweli magu hapapendi dodoma
Apende asipende, chamwino au magogoni, Magu tutamrudisha ikulu 2020. Akikata, tutamwitia Jecha.nilisema humu maja kaingizwa kingi magu haendi dom...2020 anajua harudi ikulu...chezea akili ya kemikali inachemka
Mihemko hiyoLakini ilipaswa hii road map ipangwe kabla ya kutoa matamko. Kuna watu wameshaathirika kisaikolojia kutokana na hili. ofisi nyeti zimeshatikisika sana kwa matamko ya mtu kuamka na kuanza kuagiza hadharani.
kiukweli Utawala unakosa "misingi muhimu ya kiutawala". Hakuan "Team work".
Mafwi..Dodoma siyo salama kujenga mji mkuu.
..hatari ya TETEMEKO LA ARDHI ni kubwa kuliko maeneo mengine ya Tanzania.
..fedha wanazotaka kutumia kufanikisha zoezi la kuhamia Dodoma ni bora zielekezwe kwenye ujenzi wa VIWANDA.
Tutakuwa na Raisi mwingine 2020-2025 ambaye atarudisha tena ikulu Dar , akihama atakaa miezi tuKwa utaratibu huu Rais ataishi Dodoma kwa awamu moja tu - 2020 - 2025. Watakaofuata watajua wenyewe kama warudishe Serikali Dar au la; itategema na mapenzi yao watapenda waishi wapi.