Umetoa ushauri sahihi katibu Mkuu ahame na kundi kubwaNi kweli kabisa,
hili linatekelezeka, lakini washukuriwe wananchi pia waliopiga kelele kuwaamsha washika vibendera wanaoamua mambo bila ya kutafakari.
waziri mkuu aliishi Dodoma miaka mingi tu, hata Pinda alikuwa mkazi halizi wa Dom. Lowasa alianza kujenga nyumba ya waziri mkuu na majaliwa anaimalizia. Yeye kuhamia sasa hamna tatizo kwa kuwa nyumba yake imeshakamilika.
Hayuko fair kwa kuwataka mawaziri na makatibu wakuu wa wizara nyingine wafanye hivyo sasa, kama alivyofanya kwake kwa kuamua kuhamia baada ya nyumba kukamilika alipaswa amalize nyumba za mawaziri kwanza.
Tungemsaidia kufikiri katika hili.
kuna wizara zilizokuwa zimeshafika Dodoma, zinapaswa zifanye hivyo. so phase one iwe kuhamisha rasmi wizara zote zilizokuwa zina ofisi kamili Dodoma, lakini hawa wapewe muda wa mwaka mzima kuhamishana. ukigawa wizara na idara, utaongeza gharama Zaidi ktk utendaji. hakuna idara itakayoweza ku-operate bila ya signatories, hapa tunamsema katibu mkuu, kwa hiyo trip za Dar - Dodoma kwa ajili ya kuwasilisha proposal, halafu wakaipitie kama idara then waje kupitisha pesa kwa katibu mkuu, hii haiko cost effective.
kweli wahame kwa phases, lkn ziwe wizara na sio mawaziri na makatibu. or else waende mawaziri na manaibu tu, wawaache makatibu wakuu, wakurugenzi na wakuu wa idara. siku zote katibu mkuu ahame na group kubwa ili wizara ziendelee kufanya kazi.
Kwani Jenister Mhagama na waziri mkuu bado hawajahamia Dodoma?
Kilichonipa faraja bi kwamba maoni ya JamiiForums yamefanyiwa kazi...kile kilichosomwa leo bungeni na Majaliwa ni kazi kubwa iliyofanywa na wanachama wa JFNdiyo imetoka hivyo., na sasa imebaki story.
Ndiyo imetoka hivyo., na sasa imebaki story.
Mkuu,kina watu wanapenda kujiona wao wana akili zaidi kuliko wengine.sasa wanaumbukaaa,mizuka haitakuja lisaidia taifa hili hata kidogoTulidhihakiwa sana tuliposema kuwa haiwezekani kabisa kuhamia Dodoma kwa kukurupuka
Daima uongo hupanda lifti bali ukweli hukwea ngazi
Hahahahanilisema humu maja kaingizwa kingi magu haendi dom...2020 anajua harudi ikulu...chezea akili ya kemikali inachemka