Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Ngeleja au Malima???????...Mawaziri sasa wanaongea. Ngeleja anaanza!
Ngeleja au Malima???????...Mawaziri sasa wanaongea. Ngeleja anaanza!
kuna ujumbe umetumwa kwa waziri mkuu toka kwa rais alfajiri ya leo na hivyo kuharibu taarifa nzima iliyopangwa kutolewa....
USA(marekani) wasingekuwa na states government (serikali za majimbo) wasingefika hapo walipo.
Mafanikio ya china mpaka amekuwa super power. Ni kutokana na serikali za majimbo.
India, canada.. Hawa wote wana states goverment.
Faida za serikali ya majimbo
1) Itapunguza madaraka ya Raisi automatical
2) Geita almasi inapopatikana, haiwezekani, raia wake ni maskini. (Ndo maana Marekani, California ni tajiri kuliko Washngton. Ingawaje Washtongton ndiko ikulu ya Raisi ilipo)
3) Wananchi wa Tandahimba hawatasubiria waziri wa kilimo mwenye ofisi Dar es Salaam, kutatua matatizo yao. Na inawezekana huyo waziri mwenyewe Tandahimba hapafahamu. Sasa sijui Tandahimba atawasaidia kivipi. Huu ndo mwanzo wa ufisadi.
3) Utawapunguzia mzigo wa majukumu mawaziri. Mfano, Matatizo ya elimu shule ya sekondari Buguza. Yatasimamiwa na state gvt. Na sio kusubiri bajeti ipitishwa na wizara Dar, ndio Buguza wapate mgao wao.
4) Itapunguza ukubwa wa baraza la mawaziri. Kwasababu vitu vingi vitakuwa viko under state gvt.
5) Na mengine mengi....
Nimemsikia na kumuona
'live' Sp (of cause kwenye Tv) akitamka kutoka mdomoni mwake kwa Mbowe kuwa, "JAMBAZI Lako" aki-refer Mh J Mnyika! pamoja na kuwa 'aliipotezea' lkn kwa hakika kimtokacho mtu ndicho alichonacho moyoni/nafsini/rohoni/utu wa ndani etc(you name it; soma Gal5:19) najua hawataiingiza kwenye 'hansaard' lkn masikioni mwetu na machoni imeingia! Ushauri Tundu Lisu/Mnyika/Nasari makamanda wetu omba muongozo ili hata kama ataipotezea lkn utu wake wa ndani utatolewa nje hadharani(kumb29:29) Mungu katufunulia kuliko kumezea kwani ndiyo njia pekee kwa sasa itayowapa watu uhalisia wa hawa watu
Kabwe Zitto anazungumza now!
Mkuu jana niliwaambia yuko Bahamas anakula nchi mpaka next weekIvi JK kasharudi magagoni au kapitia copa cabana???
MHONGA LUHANYWA:
Afunguka Data nyingi .....
Kahoji kuhusu Msamaha wa Kodi
Masilahi ya Polisi
KUBWA ZAIDI
Matumizi mabaya ya Fedha za Umma, Feni la Taifa limefika TRILIONI 14 huku Serikali inamiiliki magari yenye thamani ya TRILIONI 5 anazungumzia ya Viongozi tu na kwamba trend inaonyesha hakuna matabaka ya gari kwa kada ya kiongozi wote mwendo matanuzi, mbunge lexus, waziri lexus, dc lexus, RC lexus na haya yanauzwa milioni 100