GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Saalaaaaam
Kumekucha baada ya hekaheka za jana huku macho na masikio yakiendelea kutosadiki yanayotarajiwa kujiri hasa baada ya kigugumizi kuwatawala wanaokusudiwa kufunguwa midomo yao kupaza sauti itakayokata mzizi wa fitna na kufungua ukurasa mpya wa historia ya uwajibikaji katika Serikali ya Awamu ya Nne.
Kwa ujumla wabunge wanaoonekana kuranda hapa katika viwanja vya bunge ni wachache saana, sijui wengine wako wapi na ORDER PAPER haionyeshi kama PM kapangiwa kusema jambo licha ya kuwa yeye a kama mtendaji mkuu wa serikali hawajibiki kufanya hivyo kwani wakati wowote anaohitaji kutoa taarifa kwa maelekezo na mwasiliano na Spika anaweza kufanya hivyo.
Tafakuri ni zito, na muda punde Bunge litaanza
Upande anaopitia PM ulinzi upo kuashiria anakuja na muda wowote atafika hapa mjengoni
Yapi yatajiri, Endelea kubaki JF
UPDATES: HOFU YANGU YA KUTOWAONA WABUNGE ILIKUWA SAHIHI
PM ana mjadala Mkali tena, Sitashangaa Maamuzi haya yakachakachuliwa Vibaya na zikazuka Hadithi mpya kabisa ambazo zitasononesha Vibaya mioyo ya Watanzania waliokwishajawa na dukuduku la kujua hatima ya Mawaziri wanaotuhumiwa kwa kutafuna mali ya UMMA na kukosa uwajibikaji.
Tunasaka DETAILS ZAIDI
UPDATES:
Muongozo Ulioombwa ni kutaka Ufafanuzi wa Serikali kwa nini haijatoa Tamko lolote wakati Nchi ipo katika sintofahamu zito na wananchi hawajui hatima ya Mawaziri wanaodaiwa kukaa Kujiuzuru. Naomba Muongozo wako Mh. Spika
KAUMINYA PENGINE ANATAKA USHAURI NINI ASEME ILA ATASEMA TU MAANA NDO KINACHOFUATA YEYE KUULIZWA BAADA YA MAJUMUISHO YA HOJA ZA KAMATI
RECENTLY: PM AMEINGIA MJENGONI NA LOTS OFKABRASHA....Ngoja Tuone
UPDATE: MEDIA zimetega anapotokea PM kwa shauku ya aina yake, ataingia mitini kamajana au atatoa neno?????
VIDEO:
Kumekucha baada ya hekaheka za jana huku macho na masikio yakiendelea kutosadiki yanayotarajiwa kujiri hasa baada ya kigugumizi kuwatawala wanaokusudiwa kufunguwa midomo yao kupaza sauti itakayokata mzizi wa fitna na kufungua ukurasa mpya wa historia ya uwajibikaji katika Serikali ya Awamu ya Nne.
Kwa ujumla wabunge wanaoonekana kuranda hapa katika viwanja vya bunge ni wachache saana, sijui wengine wako wapi na ORDER PAPER haionyeshi kama PM kapangiwa kusema jambo licha ya kuwa yeye a kama mtendaji mkuu wa serikali hawajibiki kufanya hivyo kwani wakati wowote anaohitaji kutoa taarifa kwa maelekezo na mwasiliano na Spika anaweza kufanya hivyo.
Tafakuri ni zito, na muda punde Bunge litaanza
Upande anaopitia PM ulinzi upo kuashiria anakuja na muda wowote atafika hapa mjengoni
Yapi yatajiri, Endelea kubaki JF
UPDATES: HOFU YANGU YA KUTOWAONA WABUNGE ILIKUWA SAHIHI
PM ana mjadala Mkali tena, Sitashangaa Maamuzi haya yakachakachuliwa Vibaya na zikazuka Hadithi mpya kabisa ambazo zitasononesha Vibaya mioyo ya Watanzania waliokwishajawa na dukuduku la kujua hatima ya Mawaziri wanaotuhumiwa kwa kutafuna mali ya UMMA na kukosa uwajibikaji.
Tunasaka DETAILS ZAIDI
UPDATES:
Muongozo Ulioombwa ni kutaka Ufafanuzi wa Serikali kwa nini haijatoa Tamko lolote wakati Nchi ipo katika sintofahamu zito na wananchi hawajui hatima ya Mawaziri wanaodaiwa kukaa Kujiuzuru. Naomba Muongozo wako Mh. Spika
KAUMINYA PENGINE ANATAKA USHAURI NINI ASEME ILA ATASEMA TU MAANA NDO KINACHOFUATA YEYE KUULIZWA BAADA YA MAJUMUISHO YA HOJA ZA KAMATI
RECENTLY: PM AMEINGIA MJENGONI NA LOTS OFKABRASHA....Ngoja Tuone
UPDATE: MEDIA zimetega anapotokea PM kwa shauku ya aina yake, ataingia mitini kamajana au atatoa neno?????
VIDEO:
[video=youtube_share;WiATzAGC7b I]http://youtu.be/WiATzAGC7bI[/video]
NOTE: MHE. SPIKA KAMWOMBA RADHI MH. MNYIKA KWA NENO 'JAMBAZI', LISOMEKE "JAMAA"
NOTE: MHE. SPIKA KAMWOMBA RADHI MH. MNYIKA KWA NENO 'JAMBAZI', LISOMEKE "JAMAA"
Last edited by a moderator: