hiyo ya ccm na wanachama wapya kawe ni uongo mtupu,jana nilikuwepo eneo lile,walikuja na watu wao kumi ,sijui hata walitoka wapi na kuwapa kadi. Na kama kawaida yao walikuja na mabasi lukuki yaliyojaa watu na magwanda yao ya kijani. Kwa ufupu wamechemsha kweli kweli, na hizo pikipiki vijana waliowapa sijuiwamewatoa wapi. Sio wa hapa kabisa. Hawa jamaa ni wasanii sijapata ona. Waliishia kuzomewa tu walivyomaliza ujinga wao.