Sasa Beatrice Shellukindo: Anadai eti aliombwa asichangie hoja lakini anamwomba Mungu amsaidie ili achangie!Wananchi wanadai umeme sio maneno!Amemlima Ngeleja kwamba amesoma Bajeti ya Mwaka huu bila confidence yoyote!Anasoma barua toka Wizarani kwa Katibu Mkuu kwamba Sh Milioni 50 ili ziende GST, jumla 1bn! Amemtaka Waziri afuatilie!Atatoa Hoja kwamba hoja ya waziri isipitishwe, irudishwe ikapitiwe upya!
Kwa mujibu wa katiba na kanuni za bunge, bajeti ya wizara isipopita waziri anapewa muda wa kwenda kuipitia na kuianda upya au rais anayo madaraka ya kumfukuza kazi waziri kwa kuogopa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye.
Yupo mbunge mwingine sijui mhindi yule, nadhani anatoka Magu au maeneo kama hayo. Yeye aliunga hoja kwa asilimia mia.Mpaka muda huu alieunga mkono hii bajeti ni mbunge wa Kibaha mjini kama nipo wrong Buchanan na wengine mnisahihishe wajameni
Leo ni mwendo wa kutokuunga mkono hoja tu. Si CCM wala nani.
Wakuu hivi kuna online radio yoyote au tv inayorusha bunge? kwa watu tulio nje ya bongo tupate kuona au kusikia! msaada plse
ngeleja jana tulikutana pharmacy akinunua valium!!
Anatoka jimbo la Kwimba.Yupo mbunge mwingine sijui mhindi yule, nadhani anatoka Magu au maeneo kama hayo. Yeye aliunga hoja kwa asilimia mia.