Sasa Mbunge wa CDM, Mngodo: Amemshukuru Mh Mbowe kwa kukiongoza Chama licha ya kuwekwa ndani ameweza kukiongoza Chama! Kuhusu Madini kuna ubaguzi katika machimbo ya kijiji cha Maganzo, Shinyanga ambapo wachimbaji wenye asili ya kiasia wanapendewa vs weusi!
Umeme: Tanzania imekuwa gizani kwa miaka 19! Nani alipitisha mikataba zaidi ya Bunge kwa mujibu wa Ibara ya 63 (3) ya Katiba ya JMT! Umefika wakati wa kushirikisha Sekta binafsi!
Taarifa: Serikali imeridhia Sekta Binafsi!
NETGROUP ilikuwa inatunyonya, DG wake alikuwa analipwa mshahara wa TSh 23!
Haungi mkono hoja!