Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,416
- 6,577
Hawa watu huwa wanaibuka tu kirahisi na kupata kiki ama kuna kitu kipo nyuma ya pazia kinawapa kiki? Nahisi ni watu wanaoandaliwa na system ili kutupoteza na mambo ya msingi yanayohusu Taifa.
Wakuu nyie kwa mitizamo yenu mnalionaje hili suala la mtu kuibuka na kuwa maarufu kwa mambo ambayo hayana msingi wowote kwa Taifa?
Wakuu nyie kwa mitizamo yenu mnalionaje hili suala la mtu kuibuka na kuwa maarufu kwa mambo ambayo hayana msingi wowote kwa Taifa?