Kutoka Arusha: Mtutu katikati ya mapaja ni unyama

Kutoka Arusha: Mtutu katikati ya mapaja ni unyama

mawenge

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2012
Posts
286
Reaction score
71
source mwananchi.

Malisa anayeishi Kata ya Ngarenaro jijini
humo alifika uwanjani hapo kumwokoa
baba yake Godwin Malisa ambaye ni
mlemavu, alijikuta akipata kipigo cha
mbwa mwizi.
“Nilikuwa namfuata baba yangu ambaye ni
kada wa Chadema. Kutokana na ulemavu
wake nilihofu angepata matatizo kama
vurugu zingezuka,” anasema Wema na
kuongeza:
“Nilikuta uwanja ukiwa umefurika
wananchi wakiwasikiliza viongozi wa
Chadema. Viongozi hao ni Mbunge wa
Arusha Mjini, Godbless Lema ambaye
alihutubia na kumwachia Tundu Lissu
(Mbunge wa Singida Mashariki) naye
akamwachia Said Arfi (Mbunge Mpanda
Kati). Alipomaliza kuwataka wanachama
hao waelekee Hospitali ya Mount Meru,
ndipo mabomu yakaanza kulipuliwa.”
Anaendelea kusema: “Nilimwambia baba
tuondoke lakini tulikuwa tumeshachelewa,
kwani polisi walikuwa wametuzingira.
bomu la pili liliangukia mbele yetu. Askari
mmoja akasema ‘laleni chini’, tukalala
tukidhani tutakuwa salama. Lakini
walikuja askari na kutupiga marungu
mwili mzima mimi na baba,”
“Ghafla akatokea askari mwingine
akawakataza wasitupige, tukadhani
tumeokoka. Mara wakatokea askari
wengine, hapo ndipo kilikuwa kipigo
kitakatifu. Nilijaribu kuwazuia wasimpige
baba kwa kuwa ni mlemavu, wakanikebehi
kuwa huyo ni hawara yangu. Walinipiga
mpaka mkono na mguu ya kushoto
ikavunjika.
“Tulikuwa kwenye kibaraza cha nyumba
wakati askari wanatupiga. Askari mmoja
alirarua gauni langu chini na juu, hadi
nikabaki uchi mbele ya baba. Mwingine
akakoki bunduki na kuielekeza katikati ya
mapaja yangu ili alipue sehemu za siri,
wenzake wakamkataza. Mwingine alisema
kuwa atanibaka. Baba alinikumbatia
akasema watuue wote, mimi niliomba
wasituue maana nimeacha mtoto mchanga
nyumbani.”
Anasema askari walikuwa wakimbeza kwa
kumuuliza kwa nini yeye ni mwanachama
wa Chadema.
“Walisema ‘unajifanya wewe Chadema, sasa
ndiyo utajua kuwa CCM inatawala. Chezea
CCM wewe.’ Mimi niliwaambia sina chama
chochote nimekuja kumwokoa baba yangu.
Wakati huo wote walishanivua hereni, simu
wakachukua na fedha zilizokuwa ndani ya
pochi na kuitupa chini ikiwa tupu.”
 
source mwananchi.

Malisa anayeishi Kata ya Ngarenaro jijini
humo alifika uwanjani hapo kumwokoa
baba yake Godwin Malisa ambaye ni
mlemavu, alijikuta akipata kipigo cha
mbwa mwizi.
“Nilikuwa namfuata baba yangu ambaye ni
kada wa Chadema. Kutokana na ulemavu
wake nilihofu angepata matatizo kama
vurugu zingezuka,” anasema Wema na
kuongeza:
“Nilikuta uwanja ukiwa umefurika
wananchi wakiwasikiliza viongozi wa
Chadema. Viongozi hao ni Mbunge wa
Arusha Mjini, Godbless Lema ambaye
alihutubia na kumwachia Tundu Lissu
(Mbunge wa Singida Mashariki) naye
akamwachia Said Arfi (Mbunge Mpanda
Kati). Alipomaliza kuwataka wanachama
hao waelekee Hospitali ya Mount Meru,
ndipo mabomu yakaanza kulipuliwa.”
Anaendelea kusema: “Nilimwambia baba
tuondoke lakini tulikuwa tumeshachelewa,
kwani polisi walikuwa wametuzingira.
bomu la pili liliangukia mbele yetu. Askari
mmoja akasema ‘laleni chini’, tukalala
tukidhani tutakuwa salama. Lakini
walikuja askari na kutupiga marungu
mwili mzima mimi na baba,”
“Ghafla akatokea askari mwingine
akawakataza wasitupige, tukadhani
tumeokoka. Mara wakatokea askari
wengine, hapo ndipo kilikuwa kipigo
kitakatifu. Nilijaribu kuwazuia wasimpige
baba kwa kuwa ni mlemavu, wakanikebehi
kuwa huyo ni hawara yangu. Walinipiga
mpaka mkono na mguu ya kushoto
ikavunjika.
“Tulikuwa kwenye kibaraza cha nyumba
wakati askari wanatupiga. Askari mmoja
alirarua gauni langu chini na juu, hadi
nikabaki uchi mbele ya baba. Mwingine
akakoki bunduki na kuielekeza katikati ya
mapaja yangu ili alipue sehemu za siri,
wenzake wakamkataza. Mwingine alisema
kuwa atanibaka. Baba alinikumbatia
akasema watuue wote, mimi niliomba
wasituue maana nimeacha mtoto mchanga
nyumbani.”
Anasema askari walikuwa wakimbeza kwa
kumuuliza kwa nini yeye ni mwanachama
wa Chadema.
“Walisema ‘unajifanya wewe Chadema, sasa
ndiyo utajua kuwa CCM inatawala. Chezea
CCM wewe.’ Mimi niliwaambia sina chama
chochote nimekuja kumwokoa baba yangu.
Wakati huo wote walishanivua hereni, simu
wakachukua na fedha zilizokuwa ndani ya
pochi na kuitupa chini ikiwa tupu.”

Fashist JK ipo siku utalipa kwa udhalimu wako
 
Mods futa uzi huu unanipandisha hasira nisije nikanyonga askari mmoja maana hapa kitaani tunaishi karibu, hivi mshahara wa askari wa 247500 unawafanya kuwa wehu kiasi hichi.
 
Pole sana dada, mpe pole na baba. Yatupasa kupitia mambo kama haya ili hatimaye ukombozi upatikane. Naamini baba yako amepata ujasiri zaidi kuipenda chadema na nakuomba kachukue kadi ya Chadema kwani umeshaitesekea bila mwanachama. Naomba mateso hayo yawe chachu kwako kujiunga na Cdm
 
source mwananchi.

Malisa anayeishi Kata ya Ngarenaro jijini
humo alifika uwanjani hapo kumwokoa
baba yake Godwin Malisa ambaye ni
mlemavu, alijikuta akipata kipigo cha
mbwa mwizi.
“Nilikuwa namfuata baba yangu ambaye ni
kada wa Chadema. Kutokana na ulemavu
wake nilihofu angepata matatizo kama
vurugu zingezuka,” anasema Wema na
kuongeza:
“Nilikuta uwanja ukiwa umefurika
wananchi wakiwasikiliza viongozi wa
Chadema. Viongozi hao ni Mbunge wa
Arusha Mjini, Godbless Lema ambaye
alihutubia na kumwachia Tundu Lissu
(Mbunge wa Singida Mashariki) naye
akamwachia Said Arfi (Mbunge Mpanda
Kati). Alipomaliza kuwataka wanachama
hao waelekee Hospitali ya Mount Meru,
ndipo mabomu yakaanza kulipuliwa.”
Anaendelea kusema: “Nilimwambia baba
tuondoke lakini tulikuwa tumeshachelewa,
kwani polisi walikuwa wametuzingira.
bomu la pili liliangukia mbele yetu. Askari
mmoja akasema ‘laleni chini’, tukalala
tukidhani tutakuwa salama. Lakini
walikuja askari na kutupiga marungu
mwili mzima mimi na baba,”
“Ghafla akatokea askari mwingine
akawakataza wasitupige, tukadhani
tumeokoka. Mara wakatokea askari
wengine, hapo ndipo kilikuwa kipigo
kitakatifu. Nilijaribu kuwazuia wasimpige
baba kwa kuwa ni mlemavu, wakanikebehi
kuwa huyo ni hawara yangu. Walinipiga
mpaka mkono na mguu ya kushoto
ikavunjika.
“Tulikuwa kwenye kibaraza cha nyumba
wakati askari wanatupiga. Askari mmoja
alirarua gauni langu chini na juu, hadi
nikabaki uchi mbele ya baba. Mwingine
akakoki bunduki na kuielekeza katikati ya
mapaja yangu ili alipue sehemu za siri,
wenzake wakamkataza. Mwingine alisema
kuwa atanibaka. Baba alinikumbatia
akasema watuue wote,
mimi niliomba
wasituue maana nimeacha mtoto mchanga
nyumbani.”
Anasema askari walikuwa wakimbeza kwa
kumuuliza kwa nini yeye ni mwanachama
wa Chadema.
“Walisema ‘unajifanya wewe Chadema, sasa
ndiyo utajua kuwa CCM inatawala.
Chezea
CCM wewe.’ Mimi niliwaambia sina chama
chochote nimekuja kumwokoa baba yangu.
Wakati huo wote walishanivua hereni, simu
wakachukua na fedha zilizokuwa ndani ya
pochi na kuitupa chini ikiwa tupu.”

Mkuu hii sehemu hujaimalizia.....

Hata hivyo Wema anasema alikuja askari wa kike aliyekuwa akipiga picha za matukio na kuwasaidia. Wakati huo watu wote wameshatawanyika uwanjani hapo na askari wameshaanza kujipanga baada ya kuitwa kwa filimbi.

“Alitusikitikia na kusema, ‘kwa nini mnang’ang’ania kuwa Chadema? Angalieni sasa mlivyoumia na viongozi wenu wamewakimbia.’ Akaokota kanga iliyoachwa uwanjani na kuja kunifunika,” anasema na kuongeza:

“Kisha likaja gari la polisi tukabebwa na kuingizwa humo. Mwendo tuliondoka pale ulikuwa wa kasi huku wakiendelea kulipua mabomu na kutukanyaga bila kujali. Tulishtukia tuko Hospitali ya Mount Meru, tukabwagwa hapo na gari hilo likaondoka.”

Wema anasema walitibiwa kwa siku kadhaa kabla ya kuruhusiwa ili kuugulia nyumbani.

Maelezo ya baba yake

Baba yake Wema, Godwin Malisa japo hakupata majeraha makubwa, anaendelea kuugulia maumivu makali ya mwili mzima.

“Kilichonisikitisha ni kitendo cha kumpiga na kumdhalilisha mwanangu mbele yangu. Askari wengine walikuwa wakijaribu kuvunja hili gongo ninalotembelea kwa sababu ya ulemavu,” anasema Malisa na kuongeza


Kama hii habari ni ya kweli... ni hatari zaidi.Hii ndo inaonyesha dhahiri kuwa polisi htumwa na ccm.Bila kujali km hawa jamaa walivunja sheria au laa..
 
dah"!!!inasikitisha sana km ni kweli!!!!!pole sana ndg.
 
Inauma sana kumbe kosa letu ni kuwa wanachama wa vyama vya upinzani. Duh CCM kumbe vyama vingi ni geresha tu hamuvitaki eee vinawaharibia ulaji
 
Ni vigumu kuamini kwamba mambo ya kipuuzi kama haya yanatokea Tanzania....
 
source mwananchi.

Malisa anayeishi kata ya ngarenaro jijini
humo alifika uwanjani hapo kumwokoa
baba yake godwin malisa ambaye ni
mlemavu, alijikuta akipata kipigo cha
mbwa mwizi.
“nilikuwa namfuata baba yangu ambaye ni
kada wa chadema. Kutokana na ulemavu
wake nilihofu angepata matatizo kama
vurugu zingezuka,” anasema wema na
kuongeza:
“nilikuta uwanja ukiwa umefurika
wananchi wakiwasikiliza viongozi wa
chadema. Viongozi hao ni mbunge wa
arusha mjini, godbless lema ambaye
alihutubia na kumwachia tundu lissu
(mbunge wa singida mashariki) naye
akamwachia said arfi (mbunge mpanda
kati). Alipomaliza kuwataka wanachama
hao waelekee hospitali ya mount meru,
ndipo mabomu yakaanza kulipuliwa.”
anaendelea kusema: “nilimwambia baba
tuondoke lakini tulikuwa tumeshachelewa,
kwani polisi walikuwa wametuzingira.
Bomu la pili liliangukia mbele yetu. Askari
mmoja akasema ‘laleni chini’, tukalala
tukidhani tutakuwa salama. Lakini
walikuja askari na kutupiga marungu
mwili mzima mimi na baba,”
“ghafla akatokea askari mwingine
akawakataza wasitupige, tukadhani
tumeokoka. Mara wakatokea askari
wengine, hapo ndipo kilikuwa kipigo
kitakatifu. Nilijaribu kuwazuia wasimpige
baba kwa kuwa ni mlemavu, wakanikebehi
kuwa huyo ni hawara yangu. Walinipiga
mpaka mkono na mguu ya kushoto
ikavunjika.
“tulikuwa kwenye kibaraza cha nyumba
wakati askari wanatupiga. Askari mmoja
alirarua gauni langu chini na juu, hadi
nikabaki uchi mbele ya baba. Mwingine
akakoki bunduki na kuielekeza katikati ya
mapaja yangu ili alipue sehemu za siri,
wenzake wakamkataza. Mwingine alisema
kuwa atanibaka. Baba alinikumbatia
akasema watuue wote, mimi niliomba
wasituue maana nimeacha mtoto mchanga
nyumbani.”
anasema askari walikuwa wakimbeza kwa
kumuuliza kwa nini yeye ni mwanachama
wa chadema.
“walisema ‘unajifanya wewe chadema, sasa
ndiyo utajua kuwa ccm inatawala. Chezea
ccm wewe.’ mimi niliwaambia sina chama
chochote nimekuja kumwokoa baba yangu.
Wakati huo wote walishanivua hereni, simu
wakachukua na fedha zilizokuwa ndani ya
pochi na kuitupa chini ikiwa tupu.”

hiii inauma sana kwa kweli. Ni lini hawa watu watakuwa nahofu ya mungu,binadamutumezidi wanyama kwa kufanya ukatili huu. Machozi yananitoka kwa uchungu wa huyu mzee mlemavu na binti yake. Ni kazi ya ccm na baraka za jk na pinda wakitumia vijana wao wa kazi. Tuangalie mwisho wao wote kama utakuwasalama.mungu ni mwemana anafuta machozi ya hawa wanyonge.
 
Ni vigumu kuamini kwamba mambo ya kipuuzi kama haya yanatokea Tanzania....
Kwa nini wewe kwako inakuwa vigumu kuamini mambo haya, bado utashuhudia makubwa zaidi baada ya tamko la kushusha vipigo. Na kila mwenye nchi anatetea matumizi ya nguvu dhidi ya wananchi wenye kuteseka na walala hoi wasio ishi kwa ufahari.
Tanzania bila Nyerere inawezeshwa sasa.
 
Ni vigumu kuamini kwamba mambo ya kipuuzi kama haya yanatokea Tanzania....



Miaka ya nyuma China waliwahi kumaliza matatizo ya dissidents (wapinzani) ambao wakati huo walikuwa wanafunzi kwa kuwasagasaga na tairi za magari ya kivita ya jeshi yanayoitwa vifaru. Mtindo wa namna hii wa kudhibiti upinzani wa kisiasa kwa kutesa watu umekuja kufanywa Zimbabwe ambapo Robert Mugabe alitumia nguvu ya polisi kupiga wanaompinga. Huu ni mtindo wa Kichina.

View attachment 99348

CCM haijafanya hili likawa siri; kwamba wameiga mbina ya China na Zimbabwe. Kwamba upinzani wa kisiasa utakomeshwa kwa virungu, risasi na mabomu, nadhani hii ndo mantiki ya Chama kuvaa sare ya jeshi la China kwa makusudi tuogope. Nadiriki kusema maneno maneno haya tunayoyasema humu hayataweza kuleta mabadiliko Tanzania. Mabadiliko yataletwa na kitu kinginge.
 
Kwa nini wewe kwako inakuwa vigumu kuamini mambo haya, bado utashuhudia makubwa zaidi baada ya tamko la kushusha vipigo. Na kila mwenye nchi anatetea matumizi ya nguvu dhidi ya wananchi wenye kuteseka na walala hoi wasio ishi kwa ufahari.
Tanzania bila Nyerere inawezeshwa sasa.

Nashindwa kuamini kwa sababu katika maisha yangu yote, sikuwahi kuona damu ya Mtanzania ikimwagwa mwagwa hovyo na hapo hapo baadhi ya watu wanchekelea...Tulizoea kuishi kwa undugu na furaha bila kujali kabila au uwezo wa kiuchumi. Heshima ya mtu ilitokana na huduma yake kwa umma na siyo vinginevyo...

Inasikitisha na kuleta taharuki kuona kwamba tumefikia mahali kumwaga damu za wenzetu ni kama michezo ya kitoto ya kurusha kete na kukimbizana nayo... Pia ambapo heshima ya mtu inatokana na jinsi anavyojikomba kwa watawala..!

Hii haikubaliki kabisa...!!
 
CCM ni zaidi ya M23,naona sasa wameshaonja Nyama ya Binadamu imewanogea .
 
Miaka ya nyuma China waliwahi kumaliza matatizo ya dissidents (wapinzani) ambao wakati huo walikuwa wanafunzi kwa kuwasagasaga na tairi za magari ya kivita ya jeshi yanayoitwa vifaru. Mtindo wa namna hii wa kudhibiti upinzani wa kisiasa kwa kutesa watu umekuja kufanywa Zimbabwe ambapo Robert Mugabe alitumia nguvu ya polisi kupiga wanaompinga. Huu ni mtindo wa Kichina.

View attachment 99348

CCM haijafanya hili likawa siri; kwamba wameiga mbina ya China na Zimbabwe. Kwamba upinzani wa kisiasa utakomeshwa kwa virungu, risasi na mabomu, nadhani hii ndo mantiki ya Chama kuvaa sare ya jeshi la China kwa makusudi tuogope. Nadiriki kusema maneno maneno haya tunayoyasema humu hayataweza kuleta mabadiliko Tanzania. Mabadiliko yataletwa na kitu kinginge.

No way mkuu,

CCM wameshachelewa...hawawezi kurudisha mshale wa saa nyuma...

Itawabidi wayakubali matokeo. La sivyo, wasubiri mchuma kwenda zao The Hague!
 
Mimi sielewi kulikuwa na mri ngapi siu hiyo kwani baada ya kusoma maelezo ya dada Wema na hali niliyoiona siku hiyo kutokana na sehemu niliyo kuwa nimejificha nilishuhudia mambo mengi sana pale uwanjanieli huyo dada mpiga picha wa habari za jeshi la polisi nilimuona na nina mfahamu na askali alie kuwa anapiga filimbi kuwa zuia wasiendelee kupiga mabomu nilimuona akini cha ajabu walikuwa wakizuiwa baada ya dakika tano wakaendelea tena kama kwamba kulikuwa na amri nyingine kutoka juu...
 
Haya mambo ni ya kishetani,hivi . . . .Sijui hata nisemeje!
 
Mods naomba mleta mada mmsaidie kuiweka vizuri read yake:
======================================
source mwananchi.

Malisa anayeishi Kata ya Ngarenaro jijinihumo alifika uwanjani hapo kumwokoa baba yake Godwin Malisa ambaye ni mlemavu, alijikuta akipata kipigo chambwa mwizi.
"Nilikuwa namfuata baba yangu ambaye ni kada wa Chadema. Kutokana na ulemavu wake nilihofu angepata matatizo kama vurugu zingezuka," anasema Wema na kuongeza:
"Nilikuta uwanja ukiwa umefurika wananchi wakiwasikiliza viongozi wa Chadema. Viongozi hao ni Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ambaye alihutubia na kumwachia Tundu Lissu
(Mbunge wa Singida Mashariki) naye akamwachia Said Arfi (Mbunge Mpanda Kati). Alipomaliza kuwataka wanachama hao waelekee Hospitali ya Mount Meru, ndipo mabomu yakaanza kulipuliwa."
Anaendelea kusema: "Nilimwambia baba tuondoke lakini tulikuwa tumeshachelewa, kwani polisi walikuwa wametuzingira. bomu la pili liliangukia mbele yetu. Askari mmoja akasema ‘laleni chini', tukalala tukidhani tutakuwa salama. Lakini walikuja askari na kutupiga marungu mwili mzima mimi na baba," "Ghafla akatokea askari mwingine akawakataza wasitupige, tukadhani tumeokoka. Mara wakatokea askariwengine, hapo ndipo kilikuwa kipigokitakatifu. Nilijaribu kuwazuia wasimpige baba kwa kuwa ni mlemavu, wakanikebehi kuwa huyo ni hawara yangu. Walinipiga mpaka mkono na mguu ya kushotoikavunjika. "Tulikuwa kwenye kibaraza cha nyumbawakati askari wanatupiga. Askari mmoja alirarua gauni langu chini na juu, hadinikabaki uchi mbele ya baba. Mwingine akakoki bunduki na kuielekeza katikati ya mapaja yangu ili alipue sehemu za siri, wenzake wakamkataza. Mwingine alisema kuwa atanibaka. Baba alinikumbatia akasema watuue wote, mimi niliomba wasituue maana nimeacha mtoto mchanga nyumbani." Anasema askari walikuwa wakimbeza kwakumuuliza kwa nini yeye ni mwanachama wa Chadema. "Walisema ‘unajifanya wewe Chadema, sasa ndiyo utajua kuwa CCM inatawala. Chezea CCM wewe.' Mimi niliwaambia sina chama chochote nimekuja kumwokoa baba yangu. Wakati huo wote walishanivua hereni, simu wakachukua na fedha zilizokuwa ndani ya pochi na kuitupa chini ikiwa tupu."
 
Haya mambo ni ya kishetani,hivi . . . .Sijui hata nisemeje!

Sasa hivi kilicho baki ukipata jamaa wa huko mpaka ni chonga nae upate ya kujihami, maana huko tunakoelekea kama huna ya kuji hami maisha yako yako hatarini sana...Na shukru mimi Masanilo kani ahidi tubadilishane ni mpe viwanja viwili...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom