'Kutofungamana na Upande wowote', sera iwekewe mkazo kuepusha migogoro ya kidiplomasia. Suala la Nemes Tarimo ni doa

FPT

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
1,201
1,839
Baada ya kusikia habari za mtanzania aliyeuawa vitani nchini Ukraine akipambana upande wa Urusi dhidi ya Ukraine nilishangazwa sana na kujiuliza, ilikuwaje?

Maneno mengi nikaanza kusikia kabla ya siku ya leo serikali kutoa taarifa ya kilichotokea. Kuna wengine walidai ni mwanafunzi alilazimishwa kubeba silaha. Mtazamo huu hasi umejengwa kuficha ukweli halisi.

Siku ya leo tumeona wizara ya mambo ya nje ikitoa maelezo ya kilichojiri na kusema kwamba mtanzania huyo anaitwa Nemes Tarimo alikuwa ni mfungwa na alihukumiwa miaka 7 gerezani. Alipewa uamuzi wa kuchagua kwenda vitani na kulipwa na Vita ikiisha awe huru au kuendelea kutumikia kifungo na yeye akajua kwenda vitani.

Uchaguzi aliofanya ndio umenifanya niwiwe kuandika ninachokiandika.

Tanzania ni mwanacha wa umoja wa nchi zisizofungamana na Upande wowote(NAM) na hii ni sera ya Tanzania kimataifa.

Bila kutambua ,baadhi ya wanaoenda nje ya nchi pengine kwa ajili ya masomo ,kazi n.k wanasahau au hawajui sera hii ya Tanzania kimataifa.

Kwa kufanya hivi ,kwa sababu utaifa ni moja ya kitambulisho Cha Taifa wanajikuta wakiingiza nchi kwenye migogoro ya kimataifa.

Bw. Nemes Tarimo kwa kutokuwa na uelewa au kutamani kuwa huru akasahau kwamba huko alipo anaiwakilisha Tanzania. Kujiingiza kwake vitani ni kusema kwamba Tanzania Ina upande na ipo upande wa Urusi jambo ambalo kwa sera yetu ya kimataifa ya kutofungamana na upande wowote ni kutengeneza mgogoro.

Nemes Tarimo amefanya makosa makubwa na hili linafanya taswira ya nchi kimataifa kupata muonekano mbaya, tuanze kwa Nemes kurekebisha.

Katika kurekebisha ni vema ikaweka mkazo wa kutosha kwa wote wanaoenda nje ya nchi juu ya sera hii. Hili litasaidia kuondoa uwezekano wa kutokea kwa migogoro kwa watu kutoelewa sera hii.

Nimalize kwa kusema kwamba" mavumbini tulitoka na mavumbini tutarudi, Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho ya Marehemu mahali pema Peponi.Amen"
 
Leo Mhe.Waziri kazungumzia juu ya watanzania kutojiunga na majeshi ya kimataifa. Ninaamini katazo hilo lipo kwenye sera yetu ya kimataifa.

Natumai mhe. Waziri alipokea ushauri huu na zaidi tunaomba mkazo zaidi kwenye sera ya nchi kimataifa.

Bado nasisitiza Nemes Katia doa kubwa nchi yetu na kitendo alichofanya hakioneshi ushujaa
 
Baada ya kusikia habari za mtanzania aliyeuawa vitani nchini Ukraine akipambana upande wa Urusi dhidi ya Ukraine nilishangazwa sana na kujiuliza, ilikuwaje?

Maneno mengi nikaanza kusikia kabla ya siku ya leo serikali kutoa taarifa ya kilichotokea. Kuna wengine walidai ni mwanafunzi alilazimishwa kubeba silaha. Mtazamo huu hasi umejengwa kuficha ukweli halisi.

Siku ya leo tumeona wizara ya mambo ya nje ikitoa maelezo ya kilichojiri na kusema kwamba mtanzania huyo anaitwa Nemes Tarimo alikuwa ni mfungwa na alihukumiwa miaka 7 gerezani. Alipewa uamuzi wa kuchagua kwenda vitani na kulipwa na Vita ikiisha awe huru au kuendelea kutumikia kifungo na yeye akajua kwenda vitani.

Uchaguzi aliofanya ndio umenifanya niwiwe kuandika ninachokiandika.

Tanzania ni mwanacha wa umoja wa nchi zisizofungamana na Upande wowote(NAM) na hii ni sera ya Tanzania kimataifa.

Bila kutambua ,baadhi ya wanaoenda nje ya nchi pengine kwa ajili ya masomo ,kazi n.k wanasahau au hawajui sera hii ya Tanzania kimataifa.

Kwa kufanya hivi ,kwa sababu utaifa ni moja ya kitambulisho Cha Taifa wanajikuta wakiingiza nchi kwenye migogoro ya kimataifa.

Bw. Nemes Tarimo kwa kutokuwa na uelewa au kutamani kuwa huru akasahau kwamba huko alipo anaiwakilisha Tanzania. Kujiingiza kwake vitani ni kusema kwamba Tanzania Ina upande na ipo upande wa Urusi jambo ambalo kwa sera yetu ya kimataifa ya kutofungamana na upande wowote ni kutengeneza mgogoro.

Nemes Tarimo amefanya makosa makubwa na hili linafanya taswira ya nchi kimataifa kupata muonekano mbaya, tuanze kwa Nemes kurekebisha.

Katika kurekebisha ni vema ikaweka mkazo wa kutosha kwa wote wanaoenda nje ya nchi juu ya sera hii. Hili litasaidia kuondoa uwezekano wa kutokea kwa migogoro kwa watu kutoelewa sera hii.

Nimalize kwa kusema kwamba" mavumbini tulitoka na mavumbini tutarudi, Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho ya Marehemu mahali pema Peponi.Amen"
Kama zuzu vile unaongea pumba tupu wewe imekuathiri nini? Isitoshe wewe huo mkataba unanufaika nao kwa kiasi gani au tangu uanze kuwaza huo upumbavu umeshapata nini? Unajua ni kitu gani kilichonyuma ya hili sakata au unaropokwa upumbavu? Ametia doa doa? Doa la nyoko
 
Leo Mhe.Waziri kazungumzia juu ya watanzania kutojiunga na majeshi ya kimataifa. Ninaamini katazo hilo lipo kwenye sera yetu ya kimataifa.

Natumai mhe. Waziri alipokea ushauri huu na zaidi tunaomba mkazo zaidi kwenye sera ya nchi kimataifa.

Bado nasisitiza Nemes Katia doa kubwa nchi yetu na kitendo alichofanya hakioneshi ushujaa
Eti sera za kimataifa shenzi type hizo sera unazijua chanzo chake
 
Kama zuzu vile unaongea pumba tupu wewe imekuathiri nini? Isitoshe wewe huo mkataba unanufaika nao kwa kiasi gani au tangu uanze kuwaza huo upumbavu umeshapata nini? Unajua ni kitu gani kilichonyuma ya hili sakata au unaropokwa upumbavu? Ametia doa doa? Doa la nyoko
Ni mtazamo wako ndugu yangu gogo jr. Kabla ya waziri kutoa ufafanuzi aliotoa kwa mara ya pili baada ya kumsikiliza mara ya kwanza niligundua kuna tatizo. Pengine serikali ilichukua ushauri wangu ndio maana naona kabisa alichosema waziri ndio nilichoandika.

Hiki kipo nje ya mada sasa narudi kwenye mada. Sera ya kutofungamana na upande wowote ni uamuzi wa Tanzania kujiweka mbali na migogoro ya kimataifa.

Tuacheni mambo ya kukisia kisia tu ,Serikali imetoa taarifa rasmi ya kulichotekea Ukraine mpaka Nemes Tarimo akauawa nashangaa Upinzani wanalifanya suala la Nemes la kuchafua nchi ni ajenda
 
Eti sera za kimataifa shenzi type hizo sera unazijua chanzo chake
Umeninukuu vibaya nimesema ni Sera ya Tanzania kimataifa na kila nchi ina Sera yake. Kutofungamana na upande wowote ni Sera iliyotuepusha na migogoro ya kimataifa
 
Bw. Nemes Tarimo kwa kutokuwa na uelewa au kutamani kuwa huru akasahau kwamba huko alipo anaiwakilisha Tanzania. Kujiingiza kwake vitani ni kusema kwamba Tanzania Ina upande na ipo upande wa Urusi jambo ambalo kwa sera yetu ya kimataifa ya kutofungamana na upande wowote ni kutengeneza mgogoro.

Raia wa kawaida sio mwakilishi wa nchi katika nchi nyingine...

Hivyo yeye kufanya maamuzi yawe ya shurti au hiyari kubeba mtutu, ilikuwani maamuzi yake na kwa utashi wake...

Hakuna tamko lolote la nchi kupitia Ikulu Bunge au Wizara ya Ulinzi, lililowahi kuweka bayana kwamba Tanzania imechagu upande kati ya Ukraine au Urusi...

Ikitokea kuna tamko kama hilo, basi ndio urudii kuandika uzi kama huu...

Kama kuna shurti, basi wenye kuwajibika katika hili, walipaswa wawe ni wale waliotoa shurti kwa raia wa nchi nyingine kulazimishwa kujiunga na 'jeshi' la nchi nyingine na kuwekwa mstari wa mbele kwenye vita...
 
Nchi iliyofanya kosa ni Urusi kumshurutisha mtanzania kwenda vitani.
Hata hivyo, malalamiko hayaihusu moja kwa moja serikali ya Urusi kwa kuwa alipitia kikundi ambacho siyo jeshi rasmi la serikali.
Hapo hakuna jambo linalohusu sera ya mambo ya nje wala uhusiano wa nchi na nchi nyingine.
 
Raia wa kawaida sio mwakilishi wa nchi katika nchi nyingine...

Hivyo yeye kufanya maamuzi yawe ya shurti au hiyari kubeba mtutu, ilikuwani maamuzi yake na kwa utashi wake...

Hakuna tamko lolote la nchi kupitia Ikulu Bunge au Wizara ya Ulinzi, lililowahi kuweka bayana kwamba Tanzania imechagu upande kati ya Ukraine au Urusi...

Ikitokea kuna tamko kama hilo, basi ndio urudii kuandika uzi kama huu...

Kama kuna shurti, basi wenye kuwajibika katika hili, walipaswa wawe ni wale waliotoa shurti kwa raia wa nchi nyingine kulazimishwa kujiunga na 'jeshi' la nchi nyingine na kuwekwa mstari wa mbele kwenye vita...
Jiridhishe vizuri kabla ya kuandika. Ukitoka hapa kwenda nchi nyingine wewe unaiwakilisha nchi na balozi ndio kiongozi wao. Sasa kama raia wa kawaida haiwakilishi nchi huko nje ya nchi anatambulika kama raia wa wapi?

Tanzania ina Sera na sio matamko ya Mara kwa mara na Sera ya Tanzania ni kutofungamana na upande wowote iwe katika nini au nini na lengo la Sera hii hapa ni mahali pake. Sera hii iliundwa mahususi kujilinda dhidi ya migogoro au vita kati ya wajamaa(USSR) na mabepari(WEST).

Mtanzania hawezi kwenda kujifanyia lolote bila serikali kujua na ndio maana unatakiwa uwe na work permit. Permit ya Nemes kwenda nje ilikuwa ni kusoma lakini kujiingiza vitani ni uamuzi binafsi wa hovyo
 
Nchi iliyofanya kosa ni Urusi kumshurutisha mtanzania kwenda vitani.
Hata hivyo, malalamiko hayaihusu moja kwa moja serikali ya Urusi kwa kuwa alipitia kikundi ambacho siyo jeshi rasmi la serikali.
Hapo hakuna jambo linalohusu sera ya mambo ya nje wala uhusiano wa nchi na nchi nyingine.
Narudia tena hakuna sababu ya kupotosha ili kumlinda na kumtetea Nemes. Hakuna mahali popote Nemes alipolazimishwa wote tumesikia alikuwa ni mfungwa na alipewa uamuzi wa kufanya kwa ridhaa yake na akachagua alichochagua ,huo upotoshaji wa alilazimishwa mbona mnaulazimisha?

Nilichotegemea kusikia kwa watu wahoji ni nini kilichopelekea akafungwa ?
 
Baada ya kusikia habari za mtanzania aliyeuawa vitani nchini Ukraine akipambana upande wa Urusi dhidi ya Ukraine nilishangazwa sana na kujiuliza, ilikuwaje?

Maneno mengi nikaanza kusikia kabla ya siku ya leo serikali kutoa taarifa ya kilichotokea. Kuna wengine walidai ni mwanafunzi alilazimishwa kubeba silaha. Mtazamo huu hasi umejengwa kuficha ukweli halisi.

Siku ya leo tumeona wizara ya mambo ya nje ikitoa maelezo ya kilichojiri na kusema kwamba mtanzania huyo anaitwa Nemes Tarimo alikuwa ni mfungwa na alihukumiwa miaka 7 gerezani. Alipewa uamuzi wa kuchagua kwenda vitani na kulipwa na Vita ikiisha awe huru au kuendelea kutumikia kifungo na yeye akajua kwenda vitani.

Uchaguzi aliofanya ndio umenifanya niwiwe kuandika ninachokiandika.

Tanzania ni mwanacha wa umoja wa nchi zisizofungamana na Upande wowote(NAM) na hii ni sera ya Tanzania kimataifa.

Bila kutambua ,baadhi ya wanaoenda nje ya nchi pengine kwa ajili ya masomo ,kazi n.k wanasahau au hawajui sera hii ya Tanzania kimataifa.

Kwa kufanya hivi ,kwa sababu utaifa ni moja ya kitambulisho Cha Taifa wanajikuta wakiingiza nchi kwenye migogoro ya kimataifa.

Bw. Nemes Tarimo kwa kutokuwa na uelewa au kutamani kuwa huru akasahau kwamba huko alipo anaiwakilisha Tanzania. Kujiingiza kwake vitani ni kusema kwamba Tanzania Ina upande na ipo upande wa Urusi jambo ambalo kwa sera yetu ya kimataifa ya kutofungamana na upande wowote ni kutengeneza mgogoro.

Nemes Tarimo amefanya makosa makubwa na hili linafanya taswira ya nchi kimataifa kupata muonekano mbaya, tuanze kwa Nemes kurekebisha.

Katika kurekebisha ni vema ikaweka mkazo wa kutosha kwa wote wanaoenda nje ya nchi juu ya sera hii. Hili litasaidia kuondoa uwezekano wa kutokea kwa migogoro kwa watu kutoelewa sera hii.

Nimalize kwa kusema kwamba" mavumbini tulitoka na mavumbini tutarudi, Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho ya Marehemu mahali pema Peponi.Amen"
Kiukweli hata mimi ningejiunga hizo hizo sheria na sera wanzoweka viongozi wanavunja wao. Niendelee KUKAA kusikiliza ujinga niache kupambania maisha yangu. Hakuna cha sera wala nini ovyo kabisa.
 
Baada ya kusikia habari za mtanzania aliyeuawa vitani nchini Ukraine akipambana upande wa Urusi dhidi ya Ukraine nilishangazwa sana na kujiuliza, ilikuwaje?

Maneno mengi nikaanza kusikia kabla ya siku ya leo serikali kutoa taarifa ya kilichotokea. Kuna wengine walidai ni mwanafunzi alilazimishwa kubeba silaha. Mtazamo huu hasi umejengwa kuficha ukweli halisi.

Siku ya leo tumeona wizara ya mambo ya nje ikitoa maelezo ya kilichojiri na kusema kwamba mtanzania huyo anaitwa Nemes Tarimo alikuwa ni mfungwa na alihukumiwa miaka 7 gerezani. Alipewa uamuzi wa kuchagua kwenda vitani na kulipwa na Vita ikiisha awe huru au kuendelea kutumikia kifungo na yeye akajua kwenda vitani.

Uchaguzi aliofanya ndio umenifanya niwiwe kuandika ninachokiandika.

Tanzania ni mwanacha wa umoja wa nchi zisizofungamana na Upande wowote(NAM) na hii ni sera ya Tanzania kimataifa.

Bila kutambua ,baadhi ya wanaoenda nje ya nchi pengine kwa ajili ya masomo ,kazi n.k wanasahau au hawajui sera hii ya Tanzania kimataifa.

Kwa kufanya hivi ,kwa sababu utaifa ni moja ya kitambulisho Cha Taifa wanajikuta wakiingiza nchi kwenye migogoro ya kimataifa.

Bw. Nemes Tarimo kwa kutokuwa na uelewa au kutamani kuwa huru akasahau kwamba huko alipo anaiwakilisha Tanzania. Kujiingiza kwake vitani ni kusema kwamba Tanzania Ina upande na ipo upande wa Urusi jambo ambalo kwa sera yetu ya kimataifa ya kutofungamana na upande wowote ni kutengeneza mgogoro.

Nemes Tarimo amefanya makosa makubwa na hili linafanya taswira ya nchi kimataifa kupata muonekano mbaya, tuanze kwa Nemes kurekebisha.

Katika kurekebisha ni vema ikaweka mkazo wa kutosha kwa wote wanaoenda nje ya nchi juu ya sera hii. Hili litasaidia kuondoa uwezekano wa kutokea kwa migogoro kwa watu kutoelewa sera hii.

Nimalize kwa kusema kwamba" mavumbini tulitoka na mavumbini tutarudi, Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho ya Marehemu mahali pema Peponi.Amen"
Ulipenda afungwe miaka 7?
Wewe ungeweza?.
 
Ulipenda afungwe miaka 7?
Wewe ungeweza?.
Yaani hakuna lolote south africa watanzania wanakufa, wanaonewa waziwazi na mpaka video zinaonyeshwa hakuna kitu inasema balozi sasahivi KWA sababu ndugu yetu amefariki kwenye kupambania uhuru wake wanajiongelesha. Itoshe kusema sisi ni inferior sana
 
Baada ya kusikia habari za mtanzania aliyeuawa vitani nchini Ukraine akipambana upande wa Urusi dhidi ya Ukraine nilishangazwa sana na kujiuliza, ilikuwaje?

Maneno mengi nikaanza kusikia kabla ya siku ya leo serikali kutoa taarifa ya kilichotokea. Kuna wengine walidai ni mwanafunzi alilazimishwa kubeba silaha. Mtazamo huu hasi umejengwa kuficha ukweli halisi.

Siku ya leo tumeona wizara ya mambo ya nje ikitoa maelezo ya kilichojiri na kusema kwamba mtanzania huyo anaitwa Nemes Tarimo alikuwa ni mfungwa na alihukumiwa miaka 7 gerezani. Alipewa uamuzi wa kuchagua kwenda vitani na kulipwa na Vita ikiisha awe huru au kuendelea kutumikia kifungo na yeye akajua kwenda vitani.

Uchaguzi aliofanya ndio umenifanya niwiwe kuandika ninachokiandika.

Tanzania ni mwanacha wa umoja wa nchi zisizofungamana na Upande wowote(NAM) na hii ni sera ya Tanzania kimataifa.

Bila kutambua ,baadhi ya wanaoenda nje ya nchi pengine kwa ajili ya masomo ,kazi n.k wanasahau au hawajui sera hii ya Tanzania kimataifa.

Kwa kufanya hivi ,kwa sababu utaifa ni moja ya kitambulisho Cha Taifa wanajikuta wakiingiza nchi kwenye migogoro ya kimataifa.

Bw. Nemes Tarimo kwa kutokuwa na uelewa au kutamani kuwa huru akasahau kwamba huko alipo anaiwakilisha Tanzania. Kujiingiza kwake vitani ni kusema kwamba Tanzania Ina upande na ipo upande wa Urusi jambo ambalo kwa sera yetu ya kimataifa ya kutofungamana na upande wowote ni kutengeneza mgogoro.

Nemes Tarimo amefanya makosa makubwa na hili linafanya taswira ya nchi kimataifa kupata muonekano mbaya, tuanze kwa Nemes kurekebisha.

Katika kurekebisha ni vema ikaweka mkazo wa kutosha kwa wote wanaoenda nje ya nchi juu ya sera hii. Hili litasaidia kuondoa uwezekano wa kutokea kwa migogoro kwa watu kutoelewa sera hii.

Nimalize kwa kusema kwamba" mavumbini tulitoka na mavumbini tutarudi, Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho ya Marehemu mahali pema Peponi.Amen"
Huyo kaenda vitani kama mercenary hakuwa anaowakilisha Tanzania,au unataka kusema hiyo hela ambayo angepata ingeingia kwenye hazina ya Serikali?
 
Ni mtazamo wako ndugu yangu gogo jr. Kabla ya waziri kutoa ufafanuzi aliotoa kwa mara ya pili baada ya kumsikiliza mara ya kwanza niligundua kuna tatizo. Pengine serikali ilichukua ushauri wangu ndio maana naona kabisa alichosema waziri ndio nilichoandika.

Hiki kipo nje ya mada sasa narudi kwenye mada. Sera ya kutofungamana na upande wowote ni uamuzi wa Tanzania kujiweka mbali na migogoro ya kimataifa.

Tuacheni mambo ya kukisia kisia tu ,Serikali imetoa taarifa rasmi ya kulichotekea Ukraine mpaka Nemes Tarimo akauawa nashangaa Upinzani wanalifanya suala la Nemes la kuchafua nchi ni ajenda
Wapinzani gani unaosema wamelichukulia.suala la Nemes linaichafua nchi mbona maelezo yako ndiyo yana suggest hivyo?
 
Ulipenda afungwe miaka 7?
Wewe ungeweza?.
Msomi wa kiwango cha master's hawezi kufanya uamuzi sahihi na hapo angekuwa anasomea Tanzania tungesema tatizo ni mitaala ila sasa amesoma kwenye nchi za wengine na bado tatizo la wasomi wetu ni zaidi ya mitaala
 
Msomi wa kiwango cha master's hawezi kufanya uamuzi sahihi na hapo angekuwa anasomea Tanzania tungesema tatizo ni mitaala ila sasa amesoma kwenye nchi za wengine na bado tatizo la wasomi wetu ni zaidi ya mitaala
Master inahusiana nini na uhuru na kupambania maisha yake. Maprofesa wangapi wenye PhD wanafanya mambo ya ajabu kwenye jamii, wanalala na wafanyakazi wa ndani kuwalazimisha, wanalazimisha ngono, wengine wanabaka, hicho kigezo cha master toa hapo kwenye swala la kupambania maisha YAKO na uhuru wako
 
Huyo kaenda vitani kama mercenary hakuwa anaowakilisha Tanzania,au unataka kusema hiyo hela ambayo angepata ingeingia kwenye hazina ya Serikali?
Serikali ya Tanzania ilikuwa inajua kajiunga na jeshi au ni mercenary wa jeshi la Urusi? Naona sasa tunaenda sawa na ule mjadala wa alilazimishwa unaondoka na sasa mjadala ni alijiunga .Je, kujiunga na jeshi la nchi nyingine ni sahihi kisheria?Jibu bila mihemko
 
Baada ya kusikia habari za mtanzania aliyeuawa vitani nchini Ukraine akipambana upande wa Urusi dhidi ya Ukraine nilishangazwa sana na kujiuliza, ilikuwaje?

Maneno mengi nikaanza kusikia kabla ya siku ya leo serikali kutoa taarifa ya kilichotokea. Kuna wengine walidai ni mwanafunzi alilazimishwa kubeba silaha. Mtazamo huu hasi umejengwa kuficha ukweli halisi.

Siku ya leo tumeona wizara ya mambo ya nje ikitoa maelezo ya kilichojiri na kusema kwamba mtanzania huyo anaitwa Nemes Tarimo alikuwa ni mfungwa na alihukumiwa miaka 7 gerezani. Alipewa uamuzi wa kuchagua kwenda vitani na kulipwa na Vita ikiisha awe huru au kuendelea kutumikia kifungo na yeye akajua kwenda vitani.

Uchaguzi aliofanya ndio umenifanya niwiwe kuandika ninachokiandika.

Tanzania ni mwanacha wa umoja wa nchi zisizofungamana na Upande wowote(NAM) na hii ni sera ya Tanzania kimataifa.

Bila kutambua ,baadhi ya wanaoenda nje ya nchi pengine kwa ajili ya masomo ,kazi n.k wanasahau au hawajui sera hii ya Tanzania kimataifa.

Kwa kufanya hivi ,kwa sababu utaifa ni moja ya kitambulisho Cha Taifa wanajikuta wakiingiza nchi kwenye migogoro ya kimataifa.

Bw. Nemes Tarimo kwa kutokuwa na uelewa au kutamani kuwa huru akasahau kwamba huko alipo anaiwakilisha Tanzania. Kujiingiza kwake vitani ni kusema kwamba Tanzania Ina upande na ipo upande wa Urusi jambo ambalo kwa sera yetu ya kimataifa ya kutofungamana na upande wowote ni kutengeneza mgogoro.

Nemes Tarimo amefanya makosa makubwa na hili linafanya taswira ya nchi kimataifa kupata muonekano mbaya, tuanze kwa Nemes kurekebisha.

Katika kurekebisha ni vema ikaweka mkazo wa kutosha kwa wote wanaoenda nje ya nchi juu ya sera hii. Hili litasaidia kuondoa uwezekano wa kutokea kwa migogoro kwa watu kutoelewa sera hii.

Nimalize kwa kusema kwamba" mavumbini tulitoka na mavumbini tutarudi, Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho ya Marehemu mahali pema Peponi.Amen"
Suala la Nemes haliwezi kuwa doa hata kidogo, na hata Ukraine wanajua hilo.
Nemes aliingia into an unfortunate deal ambayo alikuwa anajaribu kujiokoa toka makucha ya kifungo.
Hakutumwa na serikali, hakutumwa na chama chake, hakutumwa na familia.

Waswahili wanasema its an unfortunate mis adventure.

Bado nchi hii haifungamani na upande wowote katika vita ya Urusi na Ukraine.
 
Master inahusiana nini na uhuru na kupambania maisha yake. Maprofesa wangapi wenye PhD wanafanya mambo ya ajabu kwenye jamii, wanalala na wafanyakazi wa ndani kuwalazimisha, wanalazimisha ngono, wengine wanabaka, hicho kigezo cha master toa hapo kwenye swala la kupambania maisha YAKO na uhuru wako
Kama anafanya mambo yasiyofaa ni lazima tuhoji elimu yake kabla ya mengine. Na sipo hapa kumtetea yeyote anayefanya kosa awe msomi ama sio msomi.
 
Back
Top Bottom