Lengo ni kujua utaratibu wao wa ibada n.k. Sasa kabla sijapewa utaratibu nikaambiwa nionane na Nabii. Ndio nikakutana na mambo ya appointment na kulipiaMkuu Login17, kama nimekuelewa vizuri ulikuwa unataka kujikeep busy na fellowship...sasa kwa mtumishi nabii ulienda kufanyaje?
Mi naona sometimes wanaweka hela(kama ni kweli lakini) ili kupunguza jam kwa kweli
Hahahahaaaa jamaniAhsante!
Next time uweke alama ya ulizo (?.) katika swali ili maswali yapungue.Back to your question, si kweli kwamba Uliyemtaja hatozi fedha.
Anatoza fedha (Sadaka) tena hataki mchezo.Pia fikiria nje ya box ya namna ya kutoza fedha (Usiishie kwenye sadaka tu) kwakuwa zipo means nyingi mno za kutozana fedha katika nyumba za Ibada.
Umeumbwa na nani ndugu? Kama ni Mungu, basi huna haja ya kwenda kwa yeyote. Muombe na atakusikia.Unamfahamu Mtumishi asiyetoza fedha Mkuu?.
Kama ndiyo, please nielekeze anapopatikana.
Hii ndio mara yako ya kwanza kusikia habari hizi za kumuona Mtumishi wa Mungu,nabii au mchungaji anaweka kiasi cha kumuona "ofisini"...?Usipomtaja huyo nabii bila shaka ni uongo.
Ukitaka hata namba yake ntakupaUnamfahamu Mtumishi asiyetoza fedha Mkuu?.
Kama ndiyo, please nielekeze anapopatikana.
Tofauti yake ni ipi ya ulicho kiandika?Hili ni swali au unaniuliza?.
pole bas utupe story na wenzioUmejuaje mkuu yaan nikikumbuks natamani kulia
Kama ni kweli kuwa umeamua kuwatazama wajane na yatima hebu tuambie mpaka sasa umehudumia wajane na yatima wangapi na imekugharimu sh. ngapi katika huduma hiyo?Pole sana kwa Masaibu yaliyokupata Mkuu.
Jifunze kuwa Mfuasi wa Kristo na si Mfuasi wa haya Makanisa wala Watumishi wake wa Kimwili.Ukiwa Mfuasi wa Kristo hutohitajika kumuona kwa Fedha wala Sadaka (Gharama ya kuonana na Kristo ni Maombi na kusoma Neno la Mungu).Pia unaonana naye muda wowote.
Ukiisoma Biblia vizuri (Si kusoma vifungu), basi utagundua kuwa tunachezewa abrakadabra nyingi sana na hawa watu wanaojiita Manabii, Wachungaji nk.
Yesu aliagiza "Kuenenda ulimwenguni kuwafanya Mataifa yote kuwa wanafunzi, tukiwabatiza kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu" (Mathayo 28:19).Si kujenga Nyumba na kuchuna Fedha sehemu miaka nenda rudi.
Hizi sinema za Makanisa lukuki kila uchwao ni Uchafu tu uliojificha kwa mwamvuli cha kueneza neno la Mungu.
Makanisa hayawafundishi watu neno la kweli.Kazi yao ni Kuhubiri kupiga hela tu na si vinginvyo.Hii inakera sana na inarudisha nyuma imani za wachache waaminio.
Mahubiri yametawaliwa na Kupigana vijembe, unazi, ushaitwani nk.Je Injili ya Kristu itafundishwa muda gani?.
Nimeishaachana na haya Makanisa ya dili, Dini yangu iliyo safi isiyo na taka mbele za Mungu ni hii, kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo Mawaa (Waraka wa Yakobo 1:27).
Wanatumia matatizo ya watu kujipatia fedha.Waumini nao kwa kusongwa na shida nyingi wamewageuza watumishi hawa kama waganga wa kienyeji.Waumini hawafundishwi neno la Mungu wanaishia kutishwa na kukamuliwa mpaka senti ya mwisho.Wahuni wengi siku hizi wamejiingiza kupiga dili kwa njia hii ya kutumia matatizo ya watu