Habari zenu wakuu...
Niliomba appointment na mtumishi flan ambaye ni maarufu tu hapa Dar (Nabii) akaniambia yeye anakutana na waumini wake kila siku lakini ili nionane naye ni lazima nitoe kwanza laki 2.2 na ndio utaratibu wake. Nikaamua kwenda ofisini kwake nikakuta utaratibu ni uleule. Sasa nikafikiria maana kwa usawa huu laki 2.2 ni pesa nyingi kwa kama condition ya kumwona mtumishi ili aweze kukuombea.
Hili swala limekaaje wadau? maana limenipa ukakasi sana!
Niliomba appointment na mtumishi flan ambaye ni maarufu tu hapa Dar (Nabii) akaniambia yeye anakutana na waumini wake kila siku lakini ili nionane naye ni lazima nitoe kwanza laki 2.2 na ndio utaratibu wake. Nikaamua kwenda ofisini kwake nikakuta utaratibu ni uleule. Sasa nikafikiria maana kwa usawa huu laki 2.2 ni pesa nyingi kwa kama condition ya kumwona mtumishi ili aweze kukuombea.
Hili swala limekaaje wadau? maana limenipa ukakasi sana!