Paddy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2010
- 462
- 304
Hapana, liquid fund raha yake ni kuona salio linakua kila siku, na uwezo wa kutoa hela ndani ya siku tatu za kazi basi. Riba zinafanana hiyo mifuko miwiliMkuu na liquid fund je wana huu utaratibu?
Hapana, liquid fund raha yake ni kuona salio linakua kila siku, na uwezo wa kutoa hela ndani ya siku tatu za kazi basi. Riba zinafanana hiyo mifuko miwiliMkuu na liquid fund je wana huu utaratibu?
UTT next to hati fungani za BoT inalipa sana.
Ok nimeona nao interest yao pia ni 12%Hapana, liquid fund raha yake ni kuona salio linakua kila siku, na uwezo wa kutoa hela ndani ya siku tatu za kazi basi. Riba zinafanana hiyo mifuko miwili
Ingia Instagram, tafuta namba ya Solomon Brokers. Wao ni mawakala wa stock market na UTT watakua na majibu ya maswali yako yote. Ukitaja tu jina la kampuni kuna watu huwa wanahisi labda ni tangazo la biashara, kama ni mtu wa kujituma basi hutakuwa na maswali tena. Tafuta any broker, piga simu na utapata msaada.Kwa hiyo hizo za BOT ni mpaka watangaze, huwezi kwenda kujinunulia siku ukiwa na pesa?
We si mnufaika? Au bado hujaanza kuzitoa
Mkuu hebu dadavua zaidi, nasikia inategemea na kiasi cha fedha unachohitaji kutoa. Kama ni kikubwa wanakusumbua ukate tamaaMkuu Mi sina HAja ya kubishana na wewe kuhusu SIku ya kupata peaa yako baada ya kujaza fomu. Nilitoka pesa mwezi WA nne ilikuwa SIku ya Jnne nilipojaza fomu pesa nilipata ijumaa. Nikatoa pesa tena mwezi WA Saba pesa nilipata ñdani ya SIku mbili yaani siku mbili baada ya kujaza fomu. Kama humu kungekuwa safe Sana ningeweka namba ya Jamaa aliyeko makao makuu DSM apigiwe maana ndiye huwa nawasiliana Nate toka nmefungua akaunti kwao mi sizungumzii uzoefu wako hapa nazungumzia reality kabisa za juzi juzi Tu hapa pesa unapata baada ya SIku mbili baada ya kujaza fomu