Nina rafiki yangu ana kazi nzuri tu ila wameachana na boyfriend wake kisa kikubwa alimuomba hela kama mara mbili hivi na hajawahi kumpa sasa hii mara ya mwisho huyo kaka aliomba akopeshwe mil 1.5 alipe mwisho wa mwezi alipoambiwa kuwa haipo ndo akachange hadi kumuacha huyo rafiki yangu kuwa siyo supportive, je wanaume ni sawa kuwa unaomba mkopo kwa girlfriend kila mara? Na wadada ni sawa kweli kumpa boyfriend hela au kushare biashara nae?