Kutoa hela kwa boyfriend

Kutoa hela kwa boyfriend

nikulize swali mleta Uzi...huyo jamaa alivokopa Mara ya kwanza hela Je aliirudisha?? na kama alirudisha kwanini hii ya pili asimkopeshe tena
 
nikulize swali mleta Uzi...huyo jamaa alivokopa Mara ya kwanza hela Je aliirudisha?? na kama alirudisha kwanini hii ya pili asimkopeshe tena
Mkuu rudia kusoma vizuri,demu anakazi nzuri.na jamaa ameomba hela kama Mara mbili na ajawai kupewa hata Mara moja
 
Nina rafiki yangu ana kazi nzur tu ila wameachana na boyfriend wake kisa kikubwa alimuomba ela kama mara mbili ivi na hajawahi kumpa sasa hii mara ya mwisho uyo kaka aliomba akopeshwe mil 1.5 alipe mwisho wa mwezi alipoambiwa kuwa haipo ndo akachange hadi kumuacha uyo rafiki yangu kuwa siyo supportive.je wanaume ni sawa kuwa unaomba mkopo kwa girlfriend kila mara?na wadada ni sawa kweli kumpa boyfriend ela au kushare biashara nae?
Dada,wakati ujao uzingatie alama za kiuandishi.
Au mwenzetu MuAfghanstan? Yani umenifanya nisome mfululizo hadi pumzi ikakata
 
Tatizo mmeshazoea kupewa na wanaume, mkiobwa ninyi mnashangaa mpk kuja kuuliza huku. Mapenzi ya kweli hayana mipaka
hata mimi namuacha siku hiyo hiyo. nimeomba unikopeshe sio unipe na nimekwambia nakupa mwisho wa mwezi na sijawahi kukuomba au kukuzulumu.

mbona miminakupa na sikudai? wewe kunipa na unidai kuna shida gani?
 
Naomba laki my tena unabana na pua,ukiombwa wewe unakuja mbio kulia huku,kwani haki sawa mlidhani ni kwa nguruwe?
Wanawake hawataki haki sawa ila wanataka usawa.
Kuna equity and equality
Equity ni kumpa mwanaume boxer na mwanamke chupi
Equality ni kuwapa wote boxer.

Hivyo duniani wanawake hawataki kitu kinachoitwa equality. Wanapenda kupendelewa.
Kama umeshakuwa na wanawake katika mahusiano ni karibia wote wana tabia zinazofanana. Mwanamke hapendi kutoa anapenda kuingiza..hahahaha kwa hiyo wanaume endeleeni kuwa hudumia tu. Hamna namna
 
  • Thanks
Reactions: Aza
hata mimi namuacha siku hiyo hiyo. nimeomba unikopeshe sio unipe na nimekwambia nakupa mwisho wa mwezi na sijawahi kukuomba au kukuzulumu.

mbona miminakupa na sikudai? wewe kunipa na unidai kuna shida gani?
Utawaacha wengi ndivyo walivyo. (Japo kuna outliers)
Mwanamke anamshahara lakini anahongwa na bodaboda anaeingiza buku 3 kwa siku. Chuo wote mnamkopo asilimia sawa ila yeye anataka zako. Kwenye suala la uchumi mwanamke humtoi mzee...
 
  • Thanks
Reactions: Aza
Nina rafiki yangu ana kazi nzuri tu ila wameachana na boyfriend wake kisa kikubwa alimuomba hela kama mara mbili hivi na hajawahi kumpa sasa hii mara ya mwisho huyo kaka aliomba akopeshwe mil 1.5 alipe mwisho wa mwezi alipoambiwa kuwa haipo ndo akachange hadi kumuacha huyo rafiki yangu kuwa siyo supportive, je wanaume ni sawa kuwa unaomba mkopo kwa girlfriend kila mara? Na wadada ni sawa kweli kumpa boyfriend hela au kushare biashara nae?

Alikuwa ananitumia, Wanaume hawako hivyo
 
Binafsi kukopeshana ni sawa,
Nahofia kusema siyo sahihi kukopeshwa pesa kwa sababu hujui kabisa maisha ya wengine na wayapitiayo,
Lakini kitamaduni za kikwetu daah Msichana kumlipia au kumkopesha B/frnd cash ni aibu,
Mwisho siyo vizuri kukatisha mahusiano kwa mambo ambayo siyo sahihi....
 
Ngoja afike 45 atatafuta wa kumpa mil 10, Sio wa kumkopesha.
 
Utawaacha wengi ndivyo walivyo. (Japo kuna outliers)
Mwanamke anamshahara lakini anahongwa na bodaboda anaeingiza buku 3 kwa siku. Chuo wote mnamkopo asilimia sawa ila yeye anataka zako. Kwenye suala la uchumi mwanamke humtoi mzee...
aiseee hatari sana
 
Back
Top Bottom